Teh teh teh,nyie vijana,me nilimalzana na necta tangu 2009.
kaka,siku ile nilipigwa ban kabla sijakujibu.
Niko mwaka wa pili ndugu.
Alafu unaonaje siku ya maafali nikusapraizi na zawadi pia iwe siku ya mimi na wewe kuonana.karibu
kijana achana na mambo ya mahafali kwanza,bado kuna supp znaninyemelea,hayo 2taongea baada ya semister ijayo kuisha.