Matokeo ya bachelor degree 2017/2018 yanatoka lini?

Matokeo ya bachelor degree 2017/2018 yanatoka lini?

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
877
Reaction score
1,564
Habari wakuu,

Nauliza vipi kuhusu matokeo ya wanafunzi wanaotarajia kupata elimu ya chuo kikuu 2017/2018 tarehe maalum ya kutoka ni lini?

ina maana kila chuo kinatoa matokeo kwa kujitegemea?
Au yanatoka kupitia TCU?

Na vipi kuhusu tetesi za baazi ya vyuo kuachia matokea

Natanguliza shukrani.
 
Nasikia Udom wametoa asa nilivyocheki naona marue rue tu so hebu jaribu kuwa unatembelea web za vyuo ulivyoomba mkulu
 
Saut ingia profile lako kuna majibu ya awali kama umepata nafasi au lah… but waiting for confirmation
 
MPAKA time hii kwa degee bado ila diploma vyuo vingi kama kcmc jana memchekia janja wangu even though kwa afya competition balaaaaa@raykidd
 
Habari wakuu,

Nauliza vipi kuhusu matokeo ya wanafunzi wanaotarajia kupata elimu ya chuo kikuu 2017/2018 tarehe maalum ya kutoka ni lini?

ina maana kila chuo kinatoa matokeo kwa kujitegemea?
Au yanatoka kupitia TCU?

Na vipi kuhusu tetesi za baazi ya vyuo kuachia matokea

Natanguliza shukrani.
Subiri tarehe 2/10/2017 TCU ndio watatangata official hayo matokeo
 
matokeo ni mwezi ujao tarehe 2/10/2017.yatatangazwa na vyuo husika mara baada ya kuthibitishwa na tcu.
 
Kwa taarifa niliyonayo ni kwamba vyuo husika wamemaliazza selection zao 'na sasa wamepeleka majina tcu ili ku counter Chek kwa wale Wenye bahati ya kupata vyuo viwili ili kuweza kuwainformn kuwainformn NA kuwapa opportunity yaa wao kudiacide through email na phon namba inategemewa kuwa by tarehe 2/10/2017 zoezi litakuwa limeshaisha
 
tarehe 25.9 vyuo vtawasiliana na wanachuo ili kupunguza multiple selection... then 2 Oct wanatangazwa... kuna Uzi nmeusoma
 
Back
Top Bottom