Walisema ni wazee wa CCM tu ndiyo wataenda kupiga kura yaani wamekalia bua.........................Tupatie za Uraisi ili tuanze kupangusa tongotongo...................
watu wangu,vijana wa kazi mmesahau chanel ten ni ya rostam?lazma wachakachue matokeo,hawawezi toa ya ukwel lazma waipe ccm kipau mbele. . . !
Endeleeni ku2 apdeti vijana wangu wa kazi . . . . . . !