hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 424
- 271
Habarini wana JF naomba kuuliza ni lini majibu ya application za vyuo kwa dirisha la kwanza lililofungwa 4/8/2023 yataweza kutoka?
Habarini wana JF naomba kuuliza ni lini majibu ya application za vyuo kwa dirisha la kwanza lililofungwa 4/8/2023 yataweza kutoka?
Sio kila mtu anapost humu ni dogo.Tulia dogo mbona unakimuhemuhe,
Shukrani mkuumpk trh 25 august mkuu
Lilikuwa ni swali sio kwamba sijatuliaKaa kwa kutulia. Matokeo ni mpaka mwishoni mwa mwezi huu.
Acha ubishi.Lilikuwa ni swali sio kwamba sijatulia
Unae matatizoAcha ubishi.