hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 424
- 271
Habarini wakuu.
Yeyote ambae amepokea majibu ya application za vyuo kwa awamu ya pili atufahamishe
Yeyote ambae amepokea majibu ya application za vyuo kwa awamu ya pili atufahamishe
NiniMkipewa Mlete tuyachungulie.
Wengine hatutaki kupoteza pesa tuta apply awamu ya tatu au ya nne kwasbb kila unapo apply unalipa 50k huo ni wizi kwa wazazi.Habarini wakuu.
Yeyote ambae amepokea majibu ya application za vyuo kwa awamu ya pili atufahamishe
tcu imetoa orodha tiyari kwa wale multiple selectionView attachment Orodha-ya-Waombaji-waliodahiliwa-zaidi-ya-Chuo-Kimoja-au-Programu-zaidi-ya-moja-Round-1-na-2-2...pdfHabarini wakuu.
Yeyote ambae amepokea majibu ya application za vyuo kwa awamu ya pili atufahamishe
Habarini wakuu.
Yeyote ambae amepokea majibu ya application za vyuo kwa awamu ya pili atufahamishe