Imagine kirahisi unasema vyeti zaidi ya lAki vimeibiwa baraza la mtihani la taifa sasa taifa hili tuamini taasisi gani?Hahaha
Imagine kirahisi unasema vyeti zaidi ya lAki vimeibiwa baraza la mtihani la taifa sasa taifa hili tuamini taasisi gani?Hahaha
Matokeo yalibadilishwa kutoka mfumo wa GPA kurudi ktk Division. Na Inasemekana walio wengi walifeli, ili kuepusha ya 2012, wakawapa div 3 wanafunzi wengi. Lol.M nataka kufahamu kwanini mtihani wa O level f4 2015 watu wengi walipewa C je wote hawa walikua na ufahamu sawa?