Matokeo ya ACSEE 2008

Matokeo ya ACSEE 2008

Kwa waCBA nchi nzima. Mi ndio nilikuwa TO mwaka 2008 nikitokea Galanos.

Mwaka 2007 alikuwa rafiki yangu na cube mate wangu namba 18 pale Bweni la Chai Galanos Donasia Chebeha Mahindi.
Ndo hii mkuu
images-5.jpeg
 
2013 pia matokeo yalikuwa mabaya mno pia..huu ulikuwa mwaka mbaya mno..matokeo yametoka tupo jeshini, watu ilikuwa ni kilio tuu.
Nina rafiki yangu alikua mafinga science waliombwa sana wabaki jamaa akachomoa alisoma PGM kilichofuata ni division 0 😱 😀😀😀 saivi yupo anachimba almasi
 
Mimi nataka kujua ni kwa nini matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2008 yamefichwa hayaonekani ila miaka mingine kama 2007 na 2009 yanaonekana.
Mimi mwenyewe ni mmojawapo wa watahiniwa wa PCM ACSEE 2008, kiukweli mtihani ulikuwa mgumu mpaka nashangaa siku hizi wanaofaulu ni wengi kulinganisha miaka hiyo
Mbona watu tulipiga vizuri tu.
 
Hii ni scheme ambayo wanajua wakiyaacha ni kujivua nguo. Madudu yalifanyika jikoni mkumbuke mwaka huo ndo vyeti vya piacha vinaanza.
Tusiwe wepesi wa kusahau, vigogo wengi shule haipo hata watt wao ila Leo ukiwagusa Wana degree.
Nakumbuka ilitangazwa kuwa vyeti zaidi ya lAki kama sijanukuu vbaya yakadiriwa vmepotea .
Nani anakumbuka mag akisema 10 vmepatikana bot kwenye uhakiki watumishi hewa na vyeti feki!
Hahaha
 
Back
Top Bottom