Malizia basiHahahahha mshikajiiii....nmesikia sikia etiiiii bodi sijui imefanya nn
Kuna tetesi bodi ya kupitisha matokeo imeisha muda wake subirini iteuliwe nyengine. Sina uhakika Kama 100% ni sababu
Ndani ya nini? Kesho ipi?Kwa taarifa za ndani kabisa ni kesho
Taarifa za nje!?Kwa taarifa za ndani kabisa ni kesho
kwahiyo wanafanya uchunguzi au?kuna tetesi kuwa bodi ilivunjwa na mkulu na hajateua memba wengine wa bodi.
tetesi nyingine ni kwamba mitihani ilivuja kutokana na baadhi ya watahiniwa kuvujishiwa mitihani baada ya kuchanga milioni 6 kila mmoja na hawa ni wale waliokua wako kwenye danger zoon ya kufutiwa matokeo yote ya nyuma baada ya kureseat kwa muda mrefu bila kutoboa