Chibidu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 387
- 50
[h=3]P0101 AZANIA SECONDARY SCHOOL CENTRE
[/h][h=3]DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 29 FLD = 14[/h]Jamani nini kimetokea kwenye sekta ya Elimu?
Zamani wakati tunasoma ilikuwa, kama kijana hakuchagulliwa kwenda shule kama hii ya Azani, tambaza, Kwiro (kwa wale wa mikoani), Kilakala, na nyingine zinazofanana na hizo kwa shule za serikali, anaumia roho sana. Lakini siku hizi inaonekana hizi shule zilienda na elininyo. Is this the AZANIA ile ilioko pale karibu na Madaktari waliogoma? au ni nyingine?
Elimu ya Tanzania kwishney!
[/h][h=3]DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 29 FLD = 14[/h]Jamani nini kimetokea kwenye sekta ya Elimu?
Zamani wakati tunasoma ilikuwa, kama kijana hakuchagulliwa kwenda shule kama hii ya Azani, tambaza, Kwiro (kwa wale wa mikoani), Kilakala, na nyingine zinazofanana na hizo kwa shule za serikali, anaumia roho sana. Lakini siku hizi inaonekana hizi shule zilienda na elininyo. Is this the AZANIA ile ilioko pale karibu na Madaktari waliogoma? au ni nyingine?
Elimu ya Tanzania kwishney!