Davies Davies
Senior Member
- May 20, 2013
- 118
- 11
Hv mkuu JF haina sheria kali kwa wale wanaotumia lugha chafu humu ndani? maana unakuta mtu yupo serious enogh anauliza kitu cha msingi ili apate ushauri,matokeo yake ana ambulia matusi! kwa mwendo huu wabongo hatuta progress hata kidogo!
Sheria zipo kibao tu sema si unajua watu hatufanani Mkuu