Kulikuwa na tetesi kuwa
Matokeo Mapya ya kidato cha Nne yangetoka wiki iliyopita Kulikoni?
Serikali yetu mbona siwaelewi jamani?
Hamjui mnatupandishia Kisukari mnapotudanganya? Jamani, na Advanced
level au Chuo ni Lini mwaka huu?
Too much... si kuna thread zinaongelea haya mambo,!? hadi na wewe uanzishe yako!??
Mpaka inaboa kila muda unakutana na thread mpya za aina hii..
form 4 mwaka 2013 wameshamaliza kumbe Daah ngoja niangalie
www.necta.matokeo.go.tz
arRGH!! Nyie vijana wa mulugo mbona mchecheto mitandaoni!
Kulikuwa na tetesi kuwa
Matokeo Mapya ya kidato cha Nne yangetoka wiki iliyopita Kulikoni?
Serikali yetu mbona siwaelewi jamani?
Hamjui mnatupandishia Kisukari mnapotudanganya? Jamani, na Advanced
level au Chuo ni Lini mwaka huu?
Yaika mwana wasu, wbhana wbhanu wbhatali na bhwenge, tubhaleke chonka.
JF kweli imevamiwa na vichaa.mtu unaandika kitu hata hakieleweki unafikiri sisi wote ni wapuuzi kama ww! idiot mkubwa!
Na kweli mkuu nokubhaleka chonka lasivo wataumiza vichwa vya watu bure.Yaika mwana wasu, wbhana wbhanu wbhatali na bhwenge, tubhaleke chonka.
Kulikuwa na tetesi kuwa Matokeo Mapya ya kidato cha Nne yangetoka wiki iliyopita Kulikoni? Serikali yetu mbona siwaelewi jamani?
Hamjui mnatupandishia Kisukari mnapotudanganya? Jamani, na Advanced level au Chuo ni Lini mwaka huu?
hahahahaaaa kasha shiba chai huyo mkuu
Kulikuwa na tetesi kuwa Matokeo Mapya ya kidato cha Nne yangetoka wiki iliyopita Kulikoni? Serikali yetu mbona siwaelewi jamani?
Hamjui mnatupandishia Kisukari mnapotudanganya? Jamani, na Advanced level au Chuo ni Lini mwaka huu?
mbulula wewe unafkri mtihan wa taifa n kama test drsn? 2lia ungoje uvune ulichopanda
Jamani mbona mnamzingua
kijana huyo, presha ndo inamsumbua xo acheni kutema pumba kama huna cha
kujibu, piga kimya.
unailaumu serkal kwan yenyewe ndo ilikupa hizo tetesi