Matokeo ya bunge la EALA
2
Nd. Fancy Haji Nkuhi
CCM
57
4. Kundi la Bara
2
Nd. Bernard Musomi Murunya
CCM 135
Mimi nashangaa tu Nancy alifikaje stage hii, Nape mhh!!!Matokeo ya bunge la EALA
2 Nd. Fancy Haji Nkuhi CCM 57
4. Kundi la Bara
Wadau vipi kuhusu uraia wa hiyo Nd Musomi, siyo MKENYA kweli??????
2 Nd. Bernard Musomi Murunya
Na huyo Fancy sijui ni mke wa nani hapo sisiem, maana dah!!!!
Kila mbunge alitakiwa apige at least kura 2 na at most kura 9, utaona mfano kundi la kwanza kama wote unaosema 305 wangepiga kura zao in total zingekuwa 610 lakini kwa mgombea mmoja zisingezidi 305.Hivi inakuwaje ukipiga hesabu ya idadi ya kura kwa kila category unakuta imezidi idaidi ya wapiga kura ambao walikuwa 305 tu.
Na hapo ni pamoja na kuhonga wapinzani anaowasema ingawa kashindwa kuthibitisha au kuwataja.Kumbe Le Mutuz ana ''BEST FRIENDS'' 42 tu Bungeni
I wonder kama wabunge wa CDM wako 48 in total na ninauhakika jana hawakuwepo wote mfano Lissu, then hizo kura zaidi ya 40 ni za CUF? sidhani, nafikiri ni baadhi ya wana CCM walimpigia, just thinking aloud.Antony Komu kura 93,siyo haba hata kidogo,next time kitaeleweka kwa CDM
Hadi nimeona wivu! Mke anapendwa hadi nikatamani kuwa small house!
Great thinkers ni kweli kwamba tulitarajia wabunge hawa kutuwakilisha katika Bunge la Africa Mashariki kwa orodha hii hapa chini?
1. Nderakindo Kessy - NCCR - Mageuzi
2. Twaha Taslima - CUF
3. Charles Makongoro Nyerere - CCM
4. Shy-Rose Bhanji - CCM
5. Adam Kimbisa - CCM
6. Angela Kizigha - CCM
7. Abdallah Ali Hassan Mwinyi - CCM
8. Bernard Mumnya - CCM
9. Mariam Ussi Yahya - CCM
Naomba kuwasilisha.