Mkuu umeyapata wapi?Haya ni ya awali ila bado vituo vinne tu:
CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22
Haya ni ya awali ila bado vituo vinne tu:
CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22
Haya ni ya awali ila bado vituo vinne tu:
CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22
Haya ni ya awali ila bado vituo vinne tu:
CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22
Kama kweli wapiga kura ni zaidi ya laki moja basi ina maana hivyo vituo vinne vilivyobaki vina wapiga kura zaidi ya 40,000 .Hivyo ni mapema mno kusema nani mshindi.Pamoja na kwamba Nassari ana advantage kama ataendelea kuongoza na kwenye vituo vilivyobaki au hata akishindwa asiwachwe mbali kiutofauti.Haya ni ya awali ila bado vituo vinne tu:
CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22
Jamani tushashinda
Taarifa za siri,ni kwamba ccm na cdm watabadilishana kura! Na ccm atatangazwa mshindi
Jamani tushashinda
Taarifa za siri,ni kwamba ccm na cdm watabadilishana kura! Na ccm atatangazwa mshindi
We sema ninasinzia,wakati nimekesha kwenye ukumbi wa kuhesabia kura! Kagenzi sasa kiti cha moto. Hajuhi la kufanya! Either atangaze Ccm, abaki na ukurugenzi!(lakini anaweza kupopolewa na mawe). Au atangaze matokeo ya kweli lakini ukurugenzi kwa heli!Mkuu unasinzia?
Swala siyo ujinga wala rushwa! Swala ni kutamkwa kwa mshindi.Leo hii hata akitamkwa Chipaka wa Tlp kuwa ni mshindi,waliobaki wanaenda kupinga mahakani! Hawana namna tena.chadema sio wajinga kiasi hiki,yaani nachowaambia wasipokee hata kumi ya ccm maana itawatokea puani mchana kweupe,
We sema ninasinzia,wakati nimekesha kwenye ukumbi wa kuhesabia kura! Kagenzi sasa kiti cha moto. Hajuhi la kufanya! Either atangaze Ccm, abaki na ukurugenzi!(lakini anaweza kupopolewa na mawe). Au atangaze matokeo ya kweli lakini ukurugenzi kwa heli!