but best school is girls sec. Hapo je?
Naomba kueleweshwa....muhagachi chacha[kibaha sec] ndiye wa kwanza,samweli katwale[mzumbe sec] ndiye wa pili na abdallah salim[FEZA sec] kashika nafasi ya tatu
Okay,grade A kama haijabadilishwa,ina range from(71~100),huenda waliopata(A-A-A) ni wengi ila wanatofautiana kwa average hivyo Chacha atakuwa na wastani mkubwa zaidi.Naomba kueleweshwa.
Chacha kashika nafasi ya kwanza maana yake nini, ni yeye aliyepata pointi tatu (A-A-A) peke yake Tanzania nzima?
Hayo ya A ya 70% na A ya 99.9% sisi hatujatangaziwa. Wameambiwa tu una A-A-A, period. Sasa tutaambiwaje mshindi wetu fulani wakati hatujatangaziwa matokeo ya huyo mshindi? Sielewi. Matokeo ya huyo mshindi yaliyotangazwa watu kibao wanayo! Huyu mshindi kapata nini, A+?Okay,grade A kama haijabadilishwa,ina range from(71~100),huenda waliopata(A-A-A) ni wengi ila wanatofautiana kwa average hivyo Chacha atakuwa na wastani mkubwa zaidi.
CCNP mhandisi # siyo woteee mbona wanaofeli wanaonekana kwa jicho baya sana hiyo ni kasumba ya mtuWatu mliofeli shule mna wivu sana...
Unategemea NECTA wana-pick Best Students randomly???
Acha ujinga.