Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

Joined
Apr 1, 2013
Posts
11
Reaction score
2
Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafsi
Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa
Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement
Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu
Plasta yake ni nusu nchi ukilinganisha na tofali ya block ambayo ni nchi moja na nusu
Ni imara na yanadumu kwa muda mrefu
Yanavutia na ni mazuri hata kwa kuyatazama mfano wake ni nyumba za kibada NHC dar es salaam
Bei ni Maelewano kwa kila tofali bei itpungua iwapo utatupa tenda ya kukujengea nyumba yako
KWABALIYE TAYARI
TUPO UBUNGO NATIONAL HOUSE
NYUMA YA UBUNGO PLAZA
DAR ES SALAAM
Contact: +255 753 240 220
MWANZA TUPO NYEGEZI
MALIMBE CAMPUS JENGO LA LEMA ENTER PRISES
Contact:+255 753 240 220
E- mail: timirashy@yahoo.com
 
Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafsi
Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa
Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement
Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu
Plasta yake ni nusu nchi ukilinganisha na tofali ya block ambayo ni nchi moja na nusu
Ni imara na yanadumu kwa muda mrefu
Yanavutia na ni mazuri hata kwa kuyatazama mfano wake ni nyumba za kibada NHC dar es salaam
Bei ni Maelewano kwa kila tofali bei itpungua iwapo utatupa tenda ya kukujengea nyumba yako
KWABALIYE TAYARI
TUPO UBUNGO NATIONAL HOUSE
NYUMA YA UBUNGO PLAZA
DAR ES SALAAM
Contact: +255 753 240 220
MWANZA TUPO NYEGEZI

MALIMBE CAMPUS JENGO LA LEMA ENTER PRISES
Contact:+255 753 240 220
E- mail: timirashy@yahoo.com

Mzee bei ya hizo tofali vipi? kuwa muwazi wadau wajipime then waamue. Haya mambo ya kufanya biashara nusu nusu kama biashara ya bangi sipendi kabisa
 
Hawa ni kama wale wa biashara za bangi za kuficha ficha.
sasa unasema be maelewano wakati hujatoa bei.toa bei mwenyewe nina mpango wa kujenga niangalie kama najiweza au vipi.
Hii inaondoa usumbufu wa kukupigia simu kwa vitu vidogo kama kujua bei
 
MKUU mbona umekaa kitapeli??
au haupo serious na biashara yako??
hivi kweli no bei saidi ya maelewano?
au unauza kutokana na mwonekano wa MTU??
au unapenda mambo yakubembelezana kama mnatongozana
 
Hawa ni kama wale wa biashara za bangi za kuficha ficha.
sasa unasema be maelewano wakati hujatoa bei.toa bei mwenyewe nina mpango wa kujenga niangalie kama najiweza au vipi.
Hii inaondoa usumbufu wa kukupigia simu kwa vitu vidogo kama kujua bei

Ni mia sita kwa tofali kaka shaka ondoa kama vipi chek na mm nipe na ramani ya nyumba yako
cheki picha na matofali haya hapa chini
 
the picture like this
 

Attachments

  • SAM_0904.JPG
    SAM_0904.JPG
    404.1 KB · Views: 871
Back
Top Bottom