UZUSHI Matiti ya mwanamke hudondoka yanapoguswa guswa na viganja vya wanaume

Baada ya tathmini, tumebaini kuwa taarifa hii ni ya uzushi
Kushikwa lazi
 
Ukweli ni kwamba ,uzee, kani ya mvutano wa dunia (Gravity)-hapa matiti huvutwa chini na dunia, uzito mkubwa, umri wa ukomo wa hedhi-miaka 43 kuendelea, kuzaa watoto wengi, kupoteza sana uzito wa mwili [dieting-kama mange kimambi] pamoja na uvutaji wa sigara husababisha kudondoka kwa matiti, yaani kuwa na ndela[malapa] kitu ambacho waume zetu hawapendi kabisa kwakuwa wao wanataa kitu kinacho wachoma choma.
 

Hapana mkuu hili suala ni genetics pia,mama watoto chuchu sa6,ila na mchepuko wa 2000s hajazaa ila mtindi umelala
 
inategemea na maumbile matiti kuwa ndala inaletwa na maumbile na sio kushikwa Mimi Mdogo wangu tumuite Mwasope yeye kawekewa ulinzi Kama wa JWTZ wenye A47K lakini titi zimelala je Nani kaziliza na yupo around 17 yrs tu
Yule dogo wa kazi ndo kaharibuuu
 
Mhhhh jamani swala la Matiti kulala ni fumbo sana.. maana....
Kunaa dini fulani huko nchi fulani wanawake wao wanaofanya kazi kwenye mahekalu HAWAOLEWI na huwa mabikra mpaka kufa, je -hao wanawake matiti yao yanasimamaga mpaka uzee?
 
Kunaa dini fulani huko nchi fulani wanawake wao wanaofanya kazi kwenye mahekalu HAWAOLEWI na huwa mabikra mpaka kufa, je -hao wanawake matiti yao yanasimamaga mpaka uzee?
Tunarud pale pale je mna uhakika wanabaki mabikra mpk uzee? Na haguswiguswi na hao Mapadri.
 
Kuna wanaojiuza lakin chuchu bado imesimama kama kamaliza darasa la saba mwaka huu hao unawaweka kind gan kwenye utafit wako
Hakuna mwanamke anayejiuza akakubali kushikwa matiti na mteja. Huo ni Uongo!

Kumtomasa kwenyewe ni mwiko
 
inategemea na maumbile matiti kuwa ndala inaletwa na maumbile na sio kushikwa Mimi Mdogo wangu tumuite Mwasope yeye kawekewa ulinzi Kama wa JWTZ wenye A47K lakini titi zimelala je Nani kaziliza na yupo around 17 yrs tu
Mtakuwa ni ninyi ninyi wanaukoo mnazungukana humo humo ndani. Jaribu kuwafuatilia wale wanaojiita mabinamu kinyama cha hamu, au kama kuna mlinzi wa geti, jaribuni kumvutia rada. Au huenda binti anapiga punyeto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…