Powel Mizengo
Senior Member
- Jan 20, 2014
- 126
- 24
Wadau naomba kuuliza!!!Mwanzoni wakati naanza mahusiano ya kimapenzi nilikuwa napenda sana wasichana wenye chuchu ndogo,but as tym went on nikajikuta napenda wenye matiti makubwa!!!Kinachonichanganya zaidi ni pale washkaji zangu wanavyowadis wenye mtindi!!!!Nini maoni yenu wadau ktk hili!!! I mean,ninyi wenzangu mnawachukuliaje wenye matiti makubwa!!!????
Tunawachukulia kama watu wa ajabu, hivo wapelekwe majumba ya maonesho....
Wapi umeona kicheko, unajuaje kama mimi sina nyonyo la haja hebu pisha naongea na mwenye threadsamahani dada naomba nikulekebishe kidogo.waswahili wanasema hujafa hujaumbika.
plz usishangae wala kudis maumbile ya mwenzako.huwezi jua lililopo mbele yako kama si wewe basi mwanao anaweza kuwa hivyo.je utampeleka kwenye jumba la maonyesho???..
na wao hawapendi kuwa hivyo lakini aliyewaumba anasababu zake.ndo maana nao hawakosi watu wa kuwapenda kama huyu mleta mada..usimcheke mtu kutokana na maumbile yake.
Wapi umeona kicheko, unajuaje kama mimi sina nyonyo la haja hebu pisha naongea na mwenye thread
Wadau naomba kuuliza!!!Mwanzoni wakati naanza mahusiano ya kimapenzi nilikuwa napenda sana wasichana wenye chuchu ndogo,but as tym went on nikajikuta napenda wenye matiti makubwa!!!Kinachonichanganya zaidi ni pale washkaji zangu wanavyowadis wenye mtindi!!!!Nini maoni yenu wadau ktk hili!!! I mean,ninyi wenzangu mnawachukuliaje wenye matiti makubwa!!!????
Wadau naomba kuuliza!!!Mwanzoni wakati naanza mahusiano ya kimapenzi nilikuwa napenda sana wasichana wenye chuchu ndogo,but as tym went on nikajikuta napenda wenye matiti makubwa!!!Kinachonichanganya zaidi ni pale washkaji zangu wanavyowadis wenye mtindi!!!!Nini maoni yenu wadau ktk hili!!! I mean,ninyi wenzangu mnawachukuliaje wenye matiti makubwa!!!????
Tunawachukulia kama watu wa ajabu, hivo wapelekwe majumba ya maonesho....
sawa dada samahani kwa kukuingilia.nimtazamo wangu kutokanana ulichoandika.samahani sana.
Fresh tu, mimi mwenyewe nilikuwa napendaga English figure lakini siku hizi huniambii kitu kwa mabonge.Wadau naomba kuuliza!!!Mwanzoni wakati naanza mahusiano ya kimapenzi nilikuwa napenda sana wasichana wenye chuchu ndogo,but as tym went on nikajikuta napenda wenye matiti makubwa!!!Kinachonichanganya zaidi ni pale washkaji zangu wanavyowadis wenye mtindi!!!!Nini maoni yenu wadau ktk hili!!! I mean,ninyi wenzangu mnawachukuliaje wenye matiti makubwa!!!????
Wanaume kazi sana kila mtu na chaguo lake Leo unapenda matiti...kesho utasema hips I....kesho kutwa makalio at the end unajikuta unaoa mwanamke wa kawaida hana hat kimojawapo
Hao ndo wanaume