johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,009
Mkurugenzi mkuu wa ATCL
mh Matindi amepuuza madai ya ACT Wazalendo na kusema ATCL iko Imara sana
Matindi amesema ATCL inaongeza safari safari kwenda China, India na Ulaya
Kadhalika ndege mpya kubwa ya mizigo itawasili nchini mwezi March 2023
Chanzo: ITV habari
mh Matindi amepuuza madai ya ACT Wazalendo na kusema ATCL iko Imara sana
Matindi amesema ATCL inaongeza safari safari kwenda China, India na Ulaya
Kadhalika ndege mpya kubwa ya mizigo itawasili nchini mwezi March 2023
Chanzo: ITV habari