Matiko Matare ni mzima

Matiko Matare ni mzima

Status
Not open for further replies.
Kwani Matiko Matare ni nani? ni nani huyu mpaka tumjue?
 
Kwa taarifa yenu Bazigiza alishafariki na mazishi yake nilihudhuria
 
Taarifa kwa wanajf,

MATIKO MATARE aliyewahi kuongoza maandamano makubwa chuo kikuu cha dar (UDSM) miaka ya 1990 na kusumbua serikali ya rais Mwinyi pamoja na jaji Warioba, ni mzima wa afya na yupo mkoa wa Ruvuma,tena ni katibu wa kanda ya kusini wa CHADEMA kupitia uchaguzi uliofanyika tar. 17 july 2013 siku ya uzinduzi wa kanda chini ya m/kiti wa CHADEMA taifa MH. Mbowe.

Hivyo kwa wale wanaojua kuwa alifariki si kweli.

Unathibitisha wewe mwenyewe au?
 
Bazigiza alishafariki kweli na alifia Dar es salaam.Ila najua wabishi watanitaka death certificate.
 
Huyo anafaa kuwa chadema kwa sababu chadema wamespecialize kwenye maandamano ya kugomea shughuli za maendeleo...

Kwenye thread wameandika kuhusu Kangi na Chami, je, nao wajiunge Chadema? Changanya na za kwako....ukombozi wa fikra Ni muhimu zaidi ya Utumwa wa akili na PESA. Ukibahatika kukaa naye Hata dakika 10 hutozijutia dakika hizo maishani mwako...tatizo mmekalia kuwasikiliza vihiyo wenye sifa za kuungaunga wasio na CV zozote katika Taasisi za wasomi...Mkimsikiliza NEPI mnadhani ndo CREAM za nchi hii kumbeeeeeeeee....mpaka zikufikie...Salam kwako
 
Huyu Bwana Matiko Matare mara ya mwisho katufundisha Musoma Tech High School 2003-2004 then usalama wakamuondoa akahamia Mwembeni Sec, after that alinambia personally 2007 tukiwa Musoma na baadaye pale UDSM kuwa anasoma Masters Open na alikuwa mbioni ku-secure Scholarship MISRI. Ni mpambanaji na hakika alitufundisha kujua na kutetea haki zetu; sishangai kusikia yupo CHADEMA!!! Nice to get his Mobile number, tutamtafuta.

Basi kama ni kweli kuwa kaingia Chadema, basi ni lazima atakuwa yuko frustrated na watamfrustrate zaidi.
 
Basi kama ni kweli kuwa kaingia Chadema, basi ni lazima atakuwa yuko frustrated na watamfrustrate zaidi.

Hahahahahahahahahaha afadhali umegundua.

Hawa vijana frustration zitawapeleka pabaya, badala ya kufanya kazi kwa bidii wanadhani kuna muujiza utakuja kuwaboreshea maisha!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom