Matiko Matare ni mzima

Matiko Matare ni mzima

Status
Not open for further replies.
0757282151 ndiyo namba yake.Huyu Bwana tulikuwa naye katika mapambano UDSM kilipofungwa tar 12 Mei 1990 na kufunguliwa tar 1 Januari 1991.Wadogo zangu mambo yalikuwa makubwa. Hapa yupo Ludovick Kashaju Bazigiza, pembeni yupo Ally Salehe, kushoto yupo Sarungi, kulia yupo Harun Kimaro, mie nikiwa kiungo, James Mbatia akiwa winga, golini yupo Adolph Mkenda, Mosena Nyambabe centre half, benchi la ufundi yuko Lugemeleza Nshala na Asha Mzava, Kangi Ligola anaokota mipira,....
Nakumbuka mbali.

nimekipenda hiichi kikosi huwa nikikutana na lugemeleza nshala unajuwa tu huyu lawyer ni mtata
 
1993- 1995 nilikuwa naye pale Kiagata Musoma vijijini tukiwasaidia watoto wa kitanzania masomo baada ya shule(Tuition), cha ajabu jule jamaa hakuwa na raha ya maisha tena, wakati mwingi ukimya ulichukua nafasi....... hakika sitamsahau, kichwa chake ni cha ajabu... aliweza kuwafundisha wale vijana bila hata kitabu chochote..... Ooooo my brother Matiko uko wapi? 20 years now
 
Mchawi utamjua tu. We chapa lapa tu unataka ushahidi wa nini na ili iweje? Au wewe ndiye ulimroga na kisha kuanza kueneza habari za uzushi dhidi yake.

Hivi mkuu hiki kijamaa unakifahamu nini? mbona umepatia hivyo kwamba ni kichawi? Kinatoka kule Gamboshi!
 
0757282151 ndiyo namba yake.Huyu Bwana tulikuwa naye katika mapambano UDSM kilipofungwa tar 12 Mei 1990 na kufunguliwa tar 1 Januari 1991.Wadogo zangu mambo yalikuwa makubwa. Hapa yupo Ludovick Kashaju Bazigiza, pembeni yupo Ally Salehe, kushoto yupo Sarungi, kulia yupo Harun Kimaro, mie nikiwa kiungo, James Mbatia akiwa winga, golini yupo Adolph Mkenda, Mosena Nyambabe centre half, benchi la ufundi yuko Lugemeleza Nshala na Asha Mzava, Kangi Ligola anaokota mipira,....
Nakumbuka mbali.

Laahaula Lakwata!! Kikosi kilikuwa kikali hicho, Mzee Mwinyi alikuna kichwa na hapo ndio aliiona changamoto kamili ya magogoni. Cyril Chami alikuwa Rais wakati huo ila sasa naona yeye na Kangi wanakunywa maji ya kijani kwa raha zao, wamesahau maana ukombozi.
 
Laahaula Lakwata!! Kikosi kilikuwa kikali hicho, Mzee Mwinyi alikuna kichwa na hapo ndio aliiona changamoto kamili ya magogoni. Cyril Chami alikuwa Rais wakati huo ila sasa naona yeye na Kangi wanakunywa maji ya kijani kwa raha zao, wamesahau maana ukombozi.

Law Masha na Crentius Magori wakiwa HS.
 
1993- 1995 nilikuwa naye pale Kiagata Musoma vijijini tukiwasaidia watoto wa kitanzania masomo baada ya shule(Tuition), cha ajabu jule jamaa hakuwa na raha ya maisha tena, wakati mwingi ukimya ulichukua nafasi....... hakika sitamsahau, kichwa chake ni cha ajabu... aliweza kuwafundisha wale vijana organic bila hata kitabu..... Ooooo my brother Matiko uko wapi? 20 years now

Organic history? Matiko amesoma Arts. Mlimani alikuwa anasoma LLB. Baadaye alipoacha UD alijiunga OUT kwa degree hiyo. Ana Dip ya Ualimu kutoka Korogwe.
 
0757282151 ndiyo namba yake.Huyu Bwana tulikuwa naye katika mapambano UDSM kilipofungwa tar 12 Mei 1990 na kufunguliwa tar 1 Januari 1991.Wadogo zangu mambo yalikuwa makubwa. Hapa yupo Ludovick Kashaju Bazigiza, pembeni yupo Ally Salehe, kushoto yupo Sarungi, kulia yupo Harun Kimaro, mie nikiwa kiungo, James Mbatia akiwa winga, golini yupo Adolph Mkenda, Mosena Nyambabe centre half, benchi la ufundi yuko Lugemeleza Nshala na Asha Mzava, Kangi Ligola anaokota mipira,....
Nakumbuka mbali.
....Pia alikuwemo ndugu Kaishozi..product ya Umbwe sec kipindi hicho(yeye na Nshala)...
 
Matiku Matare?Ni aliyekuwa mwalimu wa Language musoma tech 2002/2003?
 
Ni Mwl wangu A level Musoma alliance 2002 hadi 2003!Alikuwa anatuhadithia alivyofukuza chuo kikuu baada ya kumchora Mwinyi akiwa uchi!Ni kichwa balaa!
 
Siku hiyo mabehewa yote ya TRC ya daraja la pili kulala tuliyachukua yote Kanda ya Ziwa. Alafu nyie madogo mkaandamana kutuzomea. Lipi kipindi cha mazungumzo baada ya habari cha Mzee Sozigwa wakasema LY alijiona msomi akavaa kaptula kichwani. Tumeanza ukombozi kwa suluba.

Those days kiukweli mtu akikuambia yupo university kweli ana deserve maana kila kitu kilikuwa kinaanzia kule pia hata akija kwenye jamii ana mchango mzuri wa mawazo hata reasoning yake ni kubwa mno na wanasiasa goigoi enzi hizo walikuwa wanapata shida sana wanapoingia kwenye jamii ya wanachuo, lakini siku hizi mmmhh sijui tufanyaje kurudisha heshima ya vyuo vyetu
 
Nimefarijika sana kusikia ili jembe bado liko hai. Anafanya nini huko Ruvuma?

Tiba

SAHIHISHO.Matiko Matare ni Mwenyekiti wa kwanza wa kanda ya kusini kachaguliwa 17.7.2013.Huyu ndiye aliyekuwa HeadMaster wa kwanza sekondari ya Beroya Mkoani Ruvuma,shule ambayo inamilikiwa na Wakili Waryuba.
Kaacha kazi hiyo mwaka huu baada ya wazee wa mtaa wa Mshangano kushinikiza aondolewe na mmiliki wa shule hiyo kwa madai ya kuwachochea wanafunzi na kuwafundisha pia siasa za Chadema.Akaambiwa aache akagoma na kusema afadhali aache kazi ya ukuu wa shule na kuendelea na Chadema.Hiki ndicho kilichomkuta kwa mwaka huu.Na baada ya hapo amechaguliwa kuwa Mwenyekiti.Hongera sana.La mwisho ni kuwa MCHUNGAJI WA KANISA MOJA HUKO MATARAWE SONGEA.
 
Dah! Umenikumbusha jambo muhimu sana juu ya Bwana Matiko kwa miaka ile ya 1990/91. Bravo Matiko! Kama kweli CCM hawakumdhulu wakati ule, ni mmoja kati ya watu wenye nguvu na imani kubwa katika wanalolisimamia.
 
SAHIHISHO.Matiko Matare ni Mwenyekiti wa kwanza wa kanda ya kusini kachaguliwa 17.7.2013.Huyu ndiye aliyekuwa HeadMaster wa kwanza sekondari ya Beroya Mkoani Ruvuma,shule ambayo inamilikiwa na Wakili Waryuba.
Kaacha kazi hiyo mwaka huu baada ya wazee wa mtaa wa Mshangano kushinikiza aondolewe na mmiliki wa shule hiyo kwa madai ya kuwachochea wanafunzi na kuwafundisha pia siasa za Chadema.Akaambiwa aache akagoma na kusema afadhali aache kazi ya ukuu wa shule na kuendelea na Chadema.Hiki ndicho kilichomkuta kwa mwaka huu.Na baada ya hapo amechaguliwa kuwa Mwenyekiti.Hongera sana.La mwisho ni kuwa MCHUNGAJI WA KANISA MOJA HUKO MATARAWE SONGEA.

Khaaa.....!!!! Matiko kawa pastor siku hizi? Kila raheli Kaka. mara ya mwisho nimemuona akisoma LLB Open University na akiwa kiongozi wa OUTSO mkoa wa Mara.
 
Kwahiyo maprofesa nao walikuwa wanajisaidia kwenye vyoo vya shimo? Mkuu wa chuo naye alikuwa anakuja kazini kwa miguu?

vyoo vilikuwa vya shimo! hali ilokuwa mbaya saana, na walo andamana walikuwa hawajui hali halisi! kuingia chooni folen na makopo yenu, nyie hamjui that boy was a hero!
 
Those days kiukweli mtu akikuambia yupo university kweli ana deserve maana kila kitu kilikuwa kinaanzia kule pia hata akija kwenye jamii ana mchango mzuri wa mawazo hata reasoning yake ni kubwa mno na wanasiasa goigoi enzi hizo walikuwa wanapata shida sana wanapoingia kwenye jamii ya wanachuo, lakini siku hizi mmmhh sijui tufanyaje kurudisha heshima ya vyuo vyetu

mkuu umeongea ukweli 100%, ninaonaga arguement ya wasomi wa leo, juzi nilibahatika kumuona kijana anayejiita msomi eatv! oups! hata f6 wa wakati ule was 10000% better off!
 
Kama huyu bwana yumo CDM safi sana,ni aina ya watu watakao tupeleka kwenye tanzania huru,CDM imtumie vizuri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom