BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Salamu Madakitari wa JF.
Ninaomba kujuzwa: Pamoja na kufanya Mazoezi, ni chakula gani na Tiba asili ipi ninaweza kutumia ili kupona na kuepuka BP bila kulazimika kutumia madawa makali yenye chemical yanayoweza kusababisha tatizo lingine la Figo?
Ninaomba Msaada
Ninaomba kujuzwa: Pamoja na kufanya Mazoezi, ni chakula gani na Tiba asili ipi ninaweza kutumia ili kupona na kuepuka BP bila kulazimika kutumia madawa makali yenye chemical yanayoweza kusababisha tatizo lingine la Figo?
Ninaomba Msaada