Wachangiaji wa Bima ya Afya hawapati matibabu sahihi katika vituo vinavyotoa huduma hiyo.Kuna Vituo viwili Kigamboni yaani Navy Dispensary na Kituo cha Afya Kigamboni vimekuwa na usumbufu katika kutoa huduma ya bima ya afya.
Bado inaonekana kwamba wanaopata tiba kupitia bima ya afya ni kutibiwa bure,hivyo ni vema wahusika wawaelimishe ili waweze kutoa tiba sahihi kwa wahusika.Kuna watu wengine wamekuwa wakijilipia matibabu ili kuepuka usumbufu wakati wanakatwa fedha kwenye mishahara yao kwa ajili ya bima ya afya sasa hii si ni malipo mara mbili.
Bima ya afya iondoe tatizo hili kwa kusimamia vituo vyake na kusikiliza ushauri,maoni na malalamiko ya wadau wa bima ya afya.Wana JF muonyeshe mnavyokerwa na suala hili.
Bado inaonekana kwamba wanaopata tiba kupitia bima ya afya ni kutibiwa bure,hivyo ni vema wahusika wawaelimishe ili waweze kutoa tiba sahihi kwa wahusika.Kuna watu wengine wamekuwa wakijilipia matibabu ili kuepuka usumbufu wakati wanakatwa fedha kwenye mishahara yao kwa ajili ya bima ya afya sasa hii si ni malipo mara mbili.
Bima ya afya iondoe tatizo hili kwa kusimamia vituo vyake na kusikiliza ushauri,maoni na malalamiko ya wadau wa bima ya afya.Wana JF muonyeshe mnavyokerwa na suala hili.