Mati uyole mbeya

Mati uyole mbeya

kingminaz

Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Jamani mie ni miongoni mwa waliotuma maombi ktk chuo cha mati uyole mpaka sasa sielewi kama post wametoa,coz sijapata barua tafadhali mwenye no za mkuu wa chuo au za mwanachuo yeyote naomba aniwekee hapa pia kwa anaejua naomba anibipu kwenye no 0762525467 mie nitampigia ili anipe maelekezo natanguliza shukrani.
 
ndugu zanguni na mimi nimepata horticulture Tengeru,vp ada na michango maana cjapata joining bado na je inasoko upande wa ajira maana nimepata pia na mifugo mpwapwa nachagua ambako ni best
 
ndugu zanguni na mimi nimepata horticulture Tengeru,vp ada na michango maana cjapata joining bado na je inasoko upande wa ajira maana nimepata pia na mifugo mpwapwa nachagua ambako ni best
Mkuu jiandae kisaikologia kujiajili mwenyewe utakapomaliza masomo!
 
Heeee! We, sasa hapo usanii gani nimefanya? Makubwa! kama we unaona mi msanii, sawa. Ila mleta mada ndo anajua nimechukua hatua gani tangu nipost hapa. Hayo unayosema wewe mbwembwe tu.
Sawa mkuu,ni vizuri kama kweli umemsaidia mtoa mada!CC kingminaz
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom