Material Engineer

Material Engineer

jiangjun

New Member
Joined
May 23, 2020
Posts
3
Reaction score
6
Kuna rafiki yangu ni mchina alikuwa anataka mtu aliyesomea Material Engineering, changamoto imekuja ni kwamba hakuna mtu hata mmoja aliyetuma CV , na ni we week imepita tokea tangazo litoke.

Swali langu ni mmoja inamaana hiyo program haifundishwi kwa hapa Tanzania na kama haifundishwi ni watu walio soma program gani wanaweza fanya kazi kama material engineer?

But kama kuna mtu kasomea Material engineer hata kama ni nje ya nchi tuwasiliane mara mmoja nimuunganishe na huyo mchina, sehemu ya kazi ni Dodoma.

Nimeamua ku share hii opportunity na watu wa hapa Jf maana, juzi nilikua na shida member wa JF wakanisaidia sana.

IMG-20200526-WA0043.jpg
IMG-20200526-WA0042.jpg
IMG-20200526-WA0041.jpg
 
Materials engineers kimsingi ni civil engineers ambao baada ya kufuzu masomo ya shahada ya kwanza hujikita zaidi kwenye fani ya materials. Hivyo watanzania waliosoma nchini au kwingineko wapo - ila wapo huko kwenye miradi mbalimbali inayoendelea.

Lakini waliosajiliwa na wenye uzoefu wa kutosha kuweza kujaza nafasi za juu kwenye miradi (key positions), na ambao lazima wapitishwe na mwajiri (TANROADS, nk) ni wachache.

Hivyo endeleeni sio kutangaza tu, bali pia kuwasiliana na materials engineers walio kwenye miradi, hasa inayoelekea kuisha, mtapata - ila dau liwe la kiushindani.
 
Kuna rafiki yangu ni mchina alikua anataka mtu aliyesomea Material Engineering, changamoto imekuja ni kwamba hakuna mtu hata mmoja aliyetuma CV , na ni we week imepita tokea tangazo litoke.

Swali langu ni mmoja inamaana hiyo program haifundishwi kwa hapa Tz na kama haifundishwi ni watu walio soma program gani wanaweza fanya kazi kama material engineer?

But kama kuna mtu kasomea Material engineer hata kama ni nje ya nchi tuwasiliane mara mmoja nimuunganishe na huyo mchina, sehem ya kazi ni Dodoma.

Nimeamua ku share hii opportunity na watu wa hapa Jf maana, juzi nilikua na shida member wa JF wakanisaidia sana.

View attachment 1461299View attachment 1461302View attachment 1461304
Wanataka mwenye uzoefu gani hebu tupia tangazo hapa tutume Cv,
In short Material Engineer kwa hapa bongo Ni wale waliosoma degree ya Civil then wakasoma masters ya materials au amemaliza degree ya Civil akaanza fanya kazi kwenye miradi mbalimbali upande wa materials /maabara za ujenzi na kupata uzoefu upande wa materials hivyo anaqualify kuwa Material Engineer.
 
Material engineering kwa UDSM inafundishwa kama course nafikiri third year kwa watu wa electrical, mechanical na industrial engineering.
 
Kuna rafiki yangu ni mchina alikuwa anataka mtu aliyesomea Material Engineering, changamoto imekuja ni kwamba hakuna mtu hata mmoja aliyetuma CV , na ni we week imepita tokea tangazo litoke.

Swali langu ni mmoja inamaana hiyo program haifundishwi kwa hapa Tanzania na kama haifundishwi ni watu walio soma program gani wanaweza fanya kazi kama material engineer?

But kama kuna mtu kasomea Material engineer hata kama ni nje ya nchi tuwasiliane mara mmoja nimuunganishe na huyo mchina, sehemu ya kazi ni Dodoma.

Nimeamua ku share hii opportunity na watu wa hapa Jf maana, juzi nilikua na shida member wa JF wakanisaidia sana.

View attachment 1461299View attachment 1461302View attachment 1461304
weka contact au Company Adress, mkuu tuwasiliane...
 
weka contact au Company Adress, mkuu tuwasiliane...
Hapo ndo watz tunafeli..

Mtu ana fursa, kaitangaza hataki kuweka wazi mawasiliano na client..anataka upitie kwake akuunganishe na mchina.


Kama kweli una nia ya kusaidis, weka details kila mwenye sifa atume applications zake eventually mchins atapata mtu sasa ukianza habari za njoo inbox nikuunganishe si ndo unaanza habari za ten percent ukipata mshahara wako wa kwanza.

Na watakuja watu mia tatu inbox..je uta manage wote???
 
Hapo ndo watz tunafeli..

Mtu ana fursa, kaitangaza hataki kuweka wazi mawasiliano na client..anataka upitie kwake akuunganishe na mchina.


Kama kweli una nia ya kusaidis, weka details kila mwenye sifa atume applications zake eventually mchins atapata mtu sasa ukianza habari za njoo inbox nikuunganishe si ndo unaanza habari za ten percent ukipata mshahara wako wa kwanza.

Na watakuja watu mia tatu inbox..je uta manage wote???
Hii ndio Bongo kaka,kila mahali watu wanaingiza ukanjanja.
 
Kwa hapa bongo hakuna hii course kama yenyewe. Ila Civil Engineering na Industrial Engineering wanasoma hii course kwaiyo wacheki hao
 
Material engineers ni wale waliosoma civil engineering na cyo vingenevyo
 
Back
Top Bottom