Matembezi ya shetani usiku huu

Je, mbona hakuna tangibility ya uchawi katika maisha ya kila leo, yaani kama sayansi yenye laws? Yaani utasikia yule mzee mchawi ila no visibility, nothing to prove
Uchawi halisi unapotea kwa kasi ya ajabu kutokana maendeleo ya teknolojia na mabidiliko ya tabia nchi kitropiki
 

Matembezi hayo yatafika Kizota au Lumumba ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…