Matembezi ya amani kutunisha mfuko wa M4C


Ndo maana tumeomba matumizi ya vile fedha za kwanza zilipatika ni sh ngapi na zilitumikaje kama watashindwa kuonyesha matumizi mazuri nadhani kutakua hakuna haja
 
Chadema mnasema mnaitaji bilioni 3 Mwanza, lakini hawasemi matumizi yake...wapeni wananchi mchanganuo wa matumizi ya michango ya mwanzo.
 
Naona mkuu Ritz umeamua kumsaidia Invisible kujibu baadhi ya mapendekezo anayoombwa kuyafanya!

Sijui ni msukumo wa upendo au woga ndo umekutuma kuingilia majukum yasiyokua ya kwako!!
Binafsi nadhani ni woga.

Majukumu gani mkuu? hivi kwa akili yako unadhani JF ni mali ya Chadema?
 
Chadema mnasema mnaitaji bilioni 3 Mwanza, lakini hawasemi matumizi yake...wapeni wananchi mchanganuo wa matumizi ya michango ya mwanzo.

Ritz una jambo la msingi sana matumizi ya mwanzo ni muhimu
 
Shukurani kwa wakuu wote baadaye nitaongezea majina ya walikubali.

Pamoja tunaweza changia kubadilisha hii nchi
 
Shukurani wakuu tumefika watu zaidi ya 10 sasa endeleni kuhamasisha wengine tungefurahi kupata majina na no za simu iwe rahisi kukutafuta

Mkuu watu 5000 watapatikana tu wala haina shida cha msingi kama wewe umeamua kulibeba jambo hili usiliache njiani hakikisha limefika mwisho wake na mafanikio yake umeyaona na historia ya nchi hii itakukupumbuka kwa mchango wako wa kuleta mabadiliko yenye kuleta tumaini jipya la watoto wetu!

Mimi nashuri ushirikiane na uongozi wa chadema muunde kamati ya maandalizi ya haya matembezi ili ianze kuratibu.

Mimi niko tayari kutumia kiasi cha kipato changu kuchangia hizi harakati za mabadiliko zitakazo leta matumaini mapya kwa watoto wetu!

Chadema iko miyoni hivyo wala usihangaike kuchukua namba za simu tutatoa na kushiriki pia ili mradi yawe ni matembezi ya amani maana chadema ni chama cha amani sana!
Mkuu mie nitachangia zaidi ya 50k.
 

big up mkuu. Naunga hoja na nitashiriki matembezi
 


Big Excellent!!... Kitaalamu inaitwa
Creativity….ukipenda itamke VISION .... KAMANDA NAKUPA MIA!! MAGAMBANI NI KITU ADIMU!!! Kazi yao kuiga na kuwatumia POLISI!!!
 
Pro-Chadema JF mna vituko sana mnashindwa kuchangia JF mtachangia Chadema kweli.
 
Wazo nzuri sana na mimi nitashiriki, lakini ujue itakuja ile tafsiri ya maandamano na uanaharakati ambao CCM wamekuwa wakiufanyia propaganda siku zote!

Kumsikiliza ccm ni sawa na mkristo kumsikiliza shetani.Hivyo ccm haimtakii mtu mema. Sisi inatupasa kusonga mbele.
 
Kwa wanachama wote wa CHADEMA, naomba tuungane katika kulifikisha jambo hili ambalo ni jema mno katika MATAWI yetu tuliyonayo ili tupime mwitikio wake pia.
 
Pro-Chadema JF mna vituko sana mnashindwa kuchangia JF mtachangia Chadema kweli.
Pimbi wewe unadhani kila anayechangia JF anahitaji hizo title za JF Gold Member au Tanzanite Member? Ur mentality slave.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…