jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,599
Kuna ka ukweli lakini, swala wanashaurika? labda reforms nazo zimefanywa kwa haraka haraka sana, wapunguze speed yake, na kubadili maamuzi hasa kwenye sehemu zilizoathirika hakuna shida, siyo ajabu binadamu kukosea, tukubali kukoselewa maana wote watanzania na tuna nia njema na nchi yetu..