Mategemeo ya treasury bills auction kesho: Korosho ina mengi nyuma yake

Sep 16, 2017
22
87
Tumeskia maamuzi ya serikali ya kununua korosho Kutoka kwa wakulima kwa Tzs 3,300.00 na uongozi wa Tanzania Agricultural Development Bank umeagizwa kulipa pesa hizo mara moja. Binafsi nimekuwa na shaka kubwa sa juu ya uwezo wa hii bank ambayo mtaji wake ni karibia mara 10 ya pesa walioagizwa kuilipa kwa wakulima ambayo ni Tzs 600bil.

Maswali yangu.
  1. Pesa ya kulipa wakulima ambayo ni Tzs 600bil wanaitoa wapi? Wataikopa wapi?
  2. Kama wanaenda kukopa kwa mari ya serikali je nani anakopa na nani anakopeshwa kati ya Tanzania agricultural bank na serikali?
  3. Je Korosho ikishachukuliwa na kupelekwa lindi kwenye kiwanda cha Buko ambapo tunategemea itabanguliwa, je watakaofanya hiyo kazi wanalipwa na nai?
  4. Magari ya jeshi na wanajeshi wanagalimikiwa na nani? Posho anatoa nani?
  5. Tunajua kiwanda cha Buko kina muda mrefu hakiko kwenye operations at its maximum capacity, je ni kwa namna gani kitaweza kubangua Tani 210k?
  6. Nguvu kubwa sana iliyowekwa na serikali kwenye hili sakata ni kubwa mno, mbona hii push hatuioni kwenye mazao mengine kama mbaazi, ufuta, karafuu, mahindi, kahawa n,k? Kuna nini hapa?
Mategemeo yangu juu ya upatikanaji wa pesa ya kulipia korosho.
Nadhani walio wengi wanafahamu kwamba kila jumatano huwa kuna mnada wa Treasury bills ambao huwa unaitishwa na bank kuu. Lengo la huu mdana huwa una malengo mengi sana lakini mojawapo ni kuraise funds kwa ajili ya kufund government expenditures.
Tunaelewa last time kila Tzs 100 ilinunuliwa kwa wastani wa shilingi ngapi sababu record zipo.

Kwa banks ambazo ziko aggressive, hapa ndo mahali pa kupiga pesa. Nadhan overall value ya mnada itakuwa kubwa kuliko kawaida na nahisi hata pricing itakuwa much better kwa commercial banks lengo likiwa ni kuhakikisha pesa inapatikana ya kufund korosho, nawaza tu.
 
Bwana mkubwa ana-create matatizo, alafu anatumia power yake ku-solve matatizo hayo kwa namna inayotengeneza matatizo mengine, mradi tu yeye aonekane mshindi ansahau baada ya muda mambo yata-backfire!!

Actually, serikali inakwenda kuingia gharama kubwa sana!
 
Hapa anajaribu kuwakomesha wabunge wa kusini wenye mdomo na korosho na ku prove them wrong .Mashindano mabaya ,anahitaji busara Zaidi .Mungu atusaidie kwa kweli.Mbona mazao memgine yanaelekea shimoni and he is quite .Let us wait and see.
 
Mkuu, based on what Mr. President told the Nation kupitia hotuba yake jana ambayo binafsi naamini ndio ukweli ulivyo unless mtu mwingine alete alternative facts with evidence, alisema yafuatayo kulingana na maswali yako:

1). Benki ya ADB wameshatoa mkopo kwa
TADB na maelekezo aliyotoa ni fedha
hizo ndio zitumike maana zipo tayari.

2). Mkopo ulishatolewa naamini Serikali
ndio imekopa na-refer statement ya
Mheshimiwa wakati wa issue ya
makontena kuwa mwenye dhamana ya
kuomba misaada au mikopo kutoka nje
kwa mujibu wa sheria ni waziri wa fedha
kwa niaba ya Serikali.

3). Kiwanda hicho kimekabidhiwa JKT kwa
na kwa msisitizo wa Mheshimiwa
watakaofanya kazi ktk kiwanda hicho ni
vijana wa kitanzania wa JKT kama wale.
waliojenga ukuta wa mererani, matarajio
ni kuwa kijiendeshe kibiashara na mtaji
utatolewa na serikali maana pia alisema
atafanya na mpango wa kuwaletea
mashine mpya siku zijazo.

4). Gharama za logistic zinagharamiwa na
Serikali na alisema ameshawawezesha
tayari.

5). Ni kweli kiwanda kina muda hakifanyi
kazi, kwa hiyo watabangua zile
zinazowezekana, maana pia alisema
jeshi watakuwa wanatoa ripoti kuwa
korosho ghafi ziko kiasi gani na
zilizobanguliwa ziko kiasi gani then bodi
ya mazao itatafuta masoko based on
report from the army, kumbuka lengo
lingine la kiwanda hiki pia ni kwa ajili ya
siku zijazo yaani ndio maisha yameanza
upya sio zima moto tu ya msimu huu.

6). Kuhusu mazao mengine, sasa hili ni suala la collective reapinsibility na ndio maana mheshimiwa akasisitiza sana juu ya bodi nyingine na taasisi zote kuwa wabunifu kutofanya kazi kwa mazoea au kusubiri tu maagizo toka juu, akatoa na onyo kwa bodi ya pamba pia akagusia suala la Malawi kutenga fedha nyingi za kununulia mazao ya chakula oportunity ambayo kama agencies zetu zikiacha kufanya kazi kwa mazoea basi matokea kwa wakulima, wafugaji na hata sekta nyingine yatapatikana.

Wengine watajazia zaidi.

Good morning.
 
Wakulima wakati kuuza, kuna uwezekano wa mwanzo wakalipwa lakini wengine wakaishia na stakabadhi malipo wasubiri.
 
Hata kuandika kwa Kiswahili chenyewe haujui, mari ya Serikali ndo nini? Jifunze kwanza kuandika!
 
Mkuu, based on what Mr. President told the Nation kupitia hotuba yake jana ambayo binafsi naamini ndio ukweli ulivyo unless mtu mwingine alete alternative facts with evidence, alisema yafuatayo kulingana na maswali yako:

1). Benki ya ADB wameshatoa mkopo kwa
TADB na maelekezo aliyotoa ni fedha
hizo ndio zitumike maana zipo tayari.

2). Mkopo ulishatolewa naamini Serikali
ndio imekopa na-refer statement ya
Mheshimiwa wakati wa issue ya
makontena kuwa mwenye dhamana ya
kuomba misaada au mikopo kutoka nje
kwa mujibu wa sheria ni waziri wa fedha
kwa niaba ya Serikali.

3). Kiwanda hicho kimekabidhiwa JKT kwa
na kwa msisitizo wa Mheshimiwa
watakaofanya kazi ktk kiwanda hicho ni
vijana wa kitanzania wa JKT kama wale.
waliojenga ukuta wa mererani, matarajio
ni kuwa kijiendeshe kibiashara na mtaji
utatolewa na serikali maana pia alisema
atafanya na mpango wa kuwaletea
mashine mpya siku zijazo.

4). Gharama za logistic zinagharamiwa na
Serikali na alisema ameshawawezesha
tayari.

5). Ni kweli kiwanda kina muda hakifanyi
kazi, kwa hiyo watabangua zile
zinazowezekana, maana pia alisema
jeshi watakuwa wanatoa ripoti kuwa
korosho ghafi ziko kiasi gani na
zilizobanguliwa ziko kiasi gani then bodi
ya mazao itatafuta masoko based on
report from the army, kumbuka lengo
lingine la kiwanda hiki pia ni kwa ajili ya
siku zijazo yaani ndio maisha yameanza
upya sio zima moto tu ya msimu huu.

6). Kuhusu mazao mengine, sasa hili ni suala la collective reapinsibility na ndio maana mheshimiwa akasisitiza sana juu ya bodi nyingine na taasisi zote kuwa wabunifu kutofanya kazi kwa mazoea au kusubiri tu maagizo toka juu, akatoa na onyo kwa bodi ya pamba pia akagusia suala la Malawi kutenga fedha nyingi za kununulia mazao ya chakula oportunity ambayo kama agencies zetu zikiacha kufanya kazi kwa mazoea basi matokea kwa wakulima, wafugaji na hata sekta nyingine yatapatikana.

Wengine watajazia zaidi.

Good morning.
Mkuu kama nimekuelewa hivi.Sijui wenzangu
 
Magu atawatesa sana sbb hamtaki kubadilika na kufuata mifumo yenye maslahi.

Natamani siku 1 wakulima wagome uzalishaji hata mazao ya chakula ndio mjue thamani yao ktk maisha yenu.

Unakaa nyuma ya keybord muda huu kuandika sbb ushashiba mihogo ya haohao wakulima mnaowabeza kwa hoja nyepesi.

Pia tambua hapa korosho ni kama case study ya kurekebisha mifumo yote nyonyaji ktk mazao ya wakulima. Kama tutafanikiwa kuuvunja mtandao huu ktk korosho nakuapia automatically Pamba, chai, tumbaku, kahawa, ufuta, zabibu nk pia mkwamo wake utapata ufumbuzi. Ukizingatia hao mnaoita wafanyabiashara ndio wale ktk mazao yote.

Magu aendelee na mipango yake tuna muunga mkono kwa ukombozi wa kazi za wazazi, wajomba, wadogo na ndugu zako wote ambao umewatelekeza kijijini na kukimbilia mjini kwa ajili ya kuhoji hoji kusiko na tija.
 
Hata kuandika kwa Kiswahili chenyewe haujui, mari ya Serikali ndo nini? Jifinze kwanza kuandika!

IMG_20181107_194638.jpeg
IMG-20181107-WA0047.jpeg


Swissme
 
Mkuu, based on what Mr. President told the Nation kupitia hotuba yake jana ambayo binafsi naamini ndio ukweli ulivyo unless mtu mwingine alete alternative facts with evidence, alisema yafuatayo kulingana na maswali yako:

1). Benki ya ADB wameshatoa mkopo kwa
TADB na maelekezo aliyotoa ni fedha
hizo ndio zitumike maana zipo tayari.

2). Mkopo ulishatolewa naamini Serikali
ndio imekopa na-refer statement ya
Mheshimiwa wakati wa issue ya
makontena kuwa mwenye dhamana ya
kuomba misaada au mikopo kutoka nje
kwa mujibu wa sheria ni waziri wa fedha
kwa niaba ya Serikali.

3). Kiwanda hicho kimekabidhiwa JKT kwa
na kwa msisitizo wa Mheshimiwa
watakaofanya kazi ktk kiwanda hicho ni
vijana wa kitanzania wa JKT kama wale.
waliojenga ukuta wa mererani, matarajio
ni kuwa kijiendeshe kibiashara na mtaji
utatolewa na serikali maana pia alisema
atafanya na mpango wa kuwaletea
mashine mpya siku zijazo.

4). Gharama za logistic zinagharamiwa na
Serikali na alisema ameshawawezesha
tayari.

5). Ni kweli kiwanda kina muda hakifanyi
kazi, kwa hiyo watabangua zile
zinazowezekana, maana pia alisema
jeshi watakuwa wanatoa ripoti kuwa
korosho ghafi ziko kiasi gani na
zilizobanguliwa ziko kiasi gani then bodi
ya mazao itatafuta masoko based on
report from the army, kumbuka lengo
lingine la kiwanda hiki pia ni kwa ajili ya
siku zijazo yaani ndio maisha yameanza
upya sio zima moto tu ya msimu huu.

6). Kuhusu mazao mengine, sasa hili ni suala la collective reapinsibility na ndio maana mheshimiwa akasisitiza sana juu ya bodi nyingine na taasisi zote kuwa wabunifu kutofanya kazi kwa mazoea au kusubiri tu maagizo toka juu, akatoa na onyo kwa bodi ya pamba pia akagusia suala la Malawi kutenga fedha nyingi za kununulia mazao ya chakula oportunity ambayo kama agencies zetu zikiacha kufanya kazi kwa mazoea basi matokea kwa wakulima, wafugaji na hata sekta nyingine yatapatikana.

Wengine watajazia zaidi.

Good morning.
Mkuu umeeleza vizuri sana ila humu JF hasa hawa wapinzani uchwara hawatakuelewa!
 
Tumeskia maamuzi ya serikali ya kununua korosho Kutoka kwa wakulima kwa Tzs 3,300.00 na uongozi wa Tanzania Agricultural Development Bank umeagizwa kulipa pesa hizo mara moja. Binafsi nimekuwa na shaka kubwa sa juu ya uwezo wa hii bank ambayo mtaji wake ni karibia mara 10 ya pesa walioagizwa kuilipa kwa wakulima ambayo ni Tzs 600bil.

Maswali yangu.
  1. Pesa ya kulipa wakulima ambayo ni Tzs 600bil wanaitoa wapi? Wataikopa wapi?
  2. Kama wanaenda kukopa kwa mari ya serikali je nani anakopa na nani anakopeshwa kati ya Tanzania agricultural bank na serikali?
  3. Je Korosho ikishachukuliwa na kupelekwa lindi kwenye kiwanda cha Buko ambapo tunategemea itabanguliwa, je watakaofanya hiyo kazi wanalipwa na nai?
  4. Magari ya jeshi na wanajeshi wanagalimikiwa na nani? Posho anatoa nani?
  5. Tunajua kiwanda cha Buko kina muda mrefu hakiko kwenye operations at its maximum capacity, je ni kwa namna gani kitaweza kubangua Tani 210k?
  6. Nguvu kubwa sana iliyowekwa na serikali kwenye hili sakata ni kubwa mno, mbona hii push hatuioni kwenye mazao mengine kama mbaazi, ufuta, karafuu, mahindi, kahawa n,k? Kuna nini hapa?
Mategemeo yangu juu ya upatikanaji wa pesa ya kulipia korosho.
Nadhani walio wengi wanafahamu kwamba kila jumatano huwa kuna mnada wa Treasury bills ambao huwa unaitishwa na bank kuu. Lengo la huu mdana huwa una malengo mengi sana lakini mojawapo ni kuraise funds kwa ajili ya kufund government expenditures.
Tunaelewa last time kila Tzs 100 ilinunuliwa kwa wastani wa shilingi ngapi sababu record zipo.

Kwa banks ambazo ziko aggressive, hapa ndo mahali pa kupiga pesa. Nadhan overall value ya mnada itakuwa kubwa kuliko kawaida na nahisi hata pricing itakuwa much better kwa commercial banks lengo likiwa ni kuhakikisha pesa inapatikana ya kufund korosho, nawaza tu.

Inahitaji moyo
 
Back
Top Bottom