Matches 3 kadi 3 Nyekundu kwa Simba

Matches 3 kadi 3 Nyekundu kwa Simba

Lakini kwanini refa hakwenda kuangalia ile penalty aliyowazawadia simba badala yake kaenda kujadiliana na wale viongozi waliokua pale ile kadi nyekundu kaitoa ili kubalance makosa yake.
 
Hii nadhani ni record sijajua kama imewahi fikiwa hapo before. Na hii itaendelea kwa matches zote zilizobaki maana nyie Simba ndo mlitaka sana VAR sasa imekuja hii.... Lazima moto uwake.

Referee akienda tu kuangalia akirudi ni Kadi ya Simba. Yaani Kadi Nyekundu.
Hakuna shida, kama red card zinaleta ushindi wa ugenini, basi ziendelee tu kutolewa ili mradi tupate ushindi.
 
Nafurahi sana maana kwa muda mrefu Simba wamekuwa wanufaika na makosa ya marefa. Acha wakipate!
 
Back
Top Bottom