Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 129
Jamani mmesikia "vijiko vitatu" vya mzungu dar? Nimesikia kwenye magazeti ya leo kua amejitokeza mzungu anaetoa dawa ya kutibu ukimwi na saratani hapa dar. Naomba kama kuna ambae ameshapata vijiko atujuze zaidi.