Kwakweli nimeguswa na issue ua Bwana Makamba,hakika tunaoshangazwa na mzee huyu ni wengi, na sasa tunajua kuwa hakuwa lolote si chochote maana hata wao ndani ya CCM wanamlalamikia kuwa mla rushwa mkubwa kwa kutumia huo ukatibu mkuu.
Nnadhani ninashawishika kuwa rais alizitumia vibaya nafasi zake za ubunge wa kuteuliwa kama alivyosema muungwana kwa kutoa ahsante mpaka inatia kinyaa.
Wapo wengi walioteuliwa ambao hata kuulza swali hawajawahi bungeni mifano ni mingi, ukiacha makamba, kuna Tom Mwang'onda nk.
Ipo haja ya kutathimini mchango wa wabunge wa kuteuliwa maana hawa wa majimbo wapo wananchi waliowateua watawatathimini lakini hawa wa kupewa na rais tuwaangalie sisi.
Nnadhani ninashawishika kuwa rais alizitumia vibaya nafasi zake za ubunge wa kuteuliwa kama alivyosema muungwana kwa kutoa ahsante mpaka inatia kinyaa.
Wapo wengi walioteuliwa ambao hata kuulza swali hawajawahi bungeni mifano ni mingi, ukiacha makamba, kuna Tom Mwang'onda nk.
Ipo haja ya kutathimini mchango wa wabunge wa kuteuliwa maana hawa wa majimbo wapo wananchi waliowateua watawatathimini lakini hawa wa kupewa na rais tuwaangalie sisi.