MKOBA2011 Senior Member Jul 12, 2011 142 27 Nov 29, 2011 #21 Tumia bidhaa za FLP- wanaq dawa ya meno amabyo mimi mwenyewe naitumia nilikuwa na same problem now I am Ok
Tumia bidhaa za FLP- wanaq dawa ya meno amabyo mimi mwenyewe naitumia nilikuwa na same problem now I am Ok
I ikindo Senior Member Nov 29, 2011 130 110 Nov 30, 2011 #22 Chief nakushauri uache kunywa soda za kokakola na pepsi hua zinatabia ya kuharibu meno.