Matatizo ya COMPUTER mbalimbali

Mimi natumia Dell Intel core i3 64 bit nimeinunua mwaka 2010 sijaitumia sana kwa vile nilikuwa na dell nyingine. Sasa hivi kwenye alama ya battery inanionyesha X nyekundi kwamba natakiwa nifikirie kureplace. Sasa inauwezo wa kukaa dakika 30 -45 tu ikiwa inatumia battery pekee. Nilijaribu kuulizia bei ya replacement nilipoambiwa nikaona ngaja niendelee kutmia hivi hivi. Laptop bado ni nzima na inaonekana kama mpya lakini ndo hivy battery kwisha. Sjui kama ni kwa Dell zote za aina hii au la?
 
Mimi natumia Dell Intel core i3 64 bit nimeinunua mwaka 2010 sijaitumia sana kwa vile nilikuwa na dell nyingine. Sasa hivi kwenye alama ya battery inanionyesha X nyekundi kwamba natakiwa nifikirie kureplace. Sasa inauwezo wa kukaa dakika 30 -45 tu ikiwa inatumia battery pekee. Nilijaribu kuulizia bei ya replacement nilipoambiwa nikaona ngaja niendelee kutmia hivi hivi. Laptop bado ni nzima na inaonekana kama mpya lakini ndo hivy battery kwisha. Sjui kama ni kwa Dell zote za aina hii au la?

Ni afadhar ukanunua hizi laptops ambazo refurbished kuliko kununua brand new za kichina!!. Mara nyingi hizi refurbished ni U.K ama Europe standard. na hizi brand new za kichina nyingi zimechakachuliwa. Waweza nunua brand new mara baada ya muda mfupi yaanza kukusumbua.
 

Ni afadhar ukanunua hizi laptops ambazo refurbished kuliko kununua brand new za kichina!!. Mara nyingi hizi refurbished ni U.K ama Europe standard. na hizi brand new za kichina nyingi zimechakachuliwa. Waweza nunua brand new mara baada ya muda mfupi yaanza kukusumbua.
Nashukuru mkuu kwa wazo lako wakati na nunua sikujua hilo na lengo lilikuwa kununua brand new kumbe nikaingia chaka, anywa sijui itakuwa ikiwa inasoma charge zero na laptop bado bomba, ushauri kama upo
 
...Ok. Kama ni 'Nani Zaidi' basi mpaka sasa TOSHIBA ndio anaongoza kwa maana ya kwamba inakubalika na wengi waliochangia mpaka sasa..!
 
ww huyu ndo noumer.., apple mac book pro
attachment.php
 
natumia hp mini 2100,betri yake inakaa hadi masaa sita, ila kuna muda inakua slow kama na search, sijui labda kwasababu ni used.
 
Jamani DELL INSPIRION 15R mnaionaje, inafaavkwa matumizi ya kawaoda kama vile games, movies, kazi za kiofisi na web browsing??
 
Natumia dell D610 hivi sasa betri haliingizi chaji kabisa, chaji inayoingia ndiyo inayotumika. Nimeangalia katika taarifa za ndani inasema betri not installed, sasa inakuwaje wakati betri lipo? Na wakati mwingine natumia katika umeme na taa nyekundu inawaka ile ya kuonyesha betri haina chaji, sasa nifanyaje hapa jamani?
 
Natumia dell D610 hivi sasa betri haliingizi chaji kabisa, chaji inayoingia ndiyo inayotumika. Nimeangalia katika taarifa za ndani inasema betri not installed, sasa inakuwaje wakati betri lipo? Na wakati mwingine natumia katika umeme na taa nyekundu inawaka ile ya kuonyesha betri haina chaji, sasa nifanyaje hapa jamani?
maana yake ni kuwa betri imekufa...ni ya kubadilisha!! i had the same problem once..
 
HP na COMPAQ tatizo lake huwa ni fan na speaker DELL ziko slow sana
 
Sony mtego sana, though ni nzuri ila spair zake kupata ni issue, jusi jusi nimeizunguka k/koo nzima kwa mguu, mtaa hadi mtaa, nimeagiziwa maduka kibao, nilipokuja kushtuka nlikua navuka mnazi mmoja naelekea mitaa ya posta, japo nlifanikiwa ila ni usumbufu, afadhali ndugu zangu kina HP, DELL na wengineo ambao spea zake hazisumbui hata kwa machinga unapata.
 
Mimi nina ToSHIBA satellite L660 for 2yrs na betri bado iko poa na haijawahi kusumbua hardware... ni utunzaji wako tuu.
:israel:
 
hp yang naipenda tatzo betry replacement, white cross sign ktk betry, ila inapiga kazi kubwa 500gb ram 4gb
betry sh ngapi wakuu? hp
 
Back
Top Bottom