RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Wana-JF..
Hebu tupeane Elimu kidogo kuhusu hizi computer mbalimbali. Iwe DESKTOP au LAPTOP na Matatizo yake.
Mfano huwa Naona HP laptop nyingi huwa zinamatatizo ya betri na Cd rom na mengine...
Hebu tupa hapa matatizo mbalimbali ya computer k.m vile TOSHIBA,HP,DELL,COMPAQ n.k pia si Vibaya kama utasema ipi ni Nzuri kwa matumizi ya kawaida..ili watu waelewe vizuri na wawe makini katika Ununuzi wa Computer hizi
KARIBUNI
Hebu tupeane Elimu kidogo kuhusu hizi computer mbalimbali. Iwe DESKTOP au LAPTOP na Matatizo yake.
Mfano huwa Naona HP laptop nyingi huwa zinamatatizo ya betri na Cd rom na mengine...
Hebu tupa hapa matatizo mbalimbali ya computer k.m vile TOSHIBA,HP,DELL,COMPAQ n.k pia si Vibaya kama utasema ipi ni Nzuri kwa matumizi ya kawaida..ili watu waelewe vizuri na wawe makini katika Ununuzi wa Computer hizi
KARIBUNI