Uteuzi wa wabunge wa viti maalumu ulifanywa na CHADEMA? Acha porojo zako wewe kama hufahamu uliza ujibiwe. Kwa taarifa yako mfumo uliotumiwa na CHADEMA kupata wabunge wa viti maalumu hata ccm wanatamani kuutumia ila tatizo ni chama chao kumilikiwa na fikra za mwenyekiti wao "zidumu fikra za mwenyekiti".
CHADEMA walikabidhi kazi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum kwa jopo la maprofesa wa chuo kikuu. Wao walichofanya ni kuainisha sifa za wabunge wanaowahitaji tu.
Kama CHADEMA wangefanya uteuzi kwa upendeleo kama unavyotaka kutuaminisha, hata wengine waliotaka kupata nafasi hizo wangelalamika sana. Mfano mzuri ni pale alipofarike Regia Mtema nafasi yake ilizibwaje? Uliza ujibiwe acha kubwabwaja tu ili mradi uiingize buku saba. Tumbo litakuponza.
CCM wenyewe wanatambua utaratibu uliotumika kuwapata wabunge wa CHADEMA ndio maana wanakaa kimya na walishawahi kushauriana kutumia mfumo kama huo tatizo ni kwamba viongozi wanatumia nafasi ya viti maalum kuwapatia wapenzi wao ulaji.
kwa nini unapenda picha dogo? kwa nini huwa unaogopa kujibu hoja? tumia ubongo dogo. acha blabla. jenga hoja
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.
1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake
2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.
3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.
4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.
NAOMBA MBADILIKE.
NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
hiki chama kitakufa
Habari wa JF.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako CHADEMA.
1. Kupeana Ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
Ndesamburo vs Lucy Owenya
Mbowe vs Grace Kihwelu
Lissu vs J.Lissu(Dada yake tumbo moja)
Zitto vs mtoto wa shangazi yake
2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa Cheo au Jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.
3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya Mrema ilikuwa hivyo hivyo.
4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.
NAOMBA MBADILIKE.
NB: SIASA CI SULUHISHO SAHIHI LA MATATIZO YETU.
habari wa jf.
Naomba nitaje matatizo ambayo yako chadema.
1. Kupeana ubunge kwa kujuana, e.g viti maalumu
ndesamburo vs lucy owenya
mbowe vs grace kihwelu
lissu vs j.lissu(dada yake tumbo moja)
zitto vs mtoto wa shangazi yake
2. Ukiwa mchaga ni rahisi kupewa cheo au jimbo la uchaguzi tena bila hata kura za maoni.
3. Kudhani kila wakati ndio chama kikuu cha upinzani wakati kuna vyama vingine. Na hata
nccr mageuzi ya mrema ilikuwa hivyo hivyo.
4. Kila wakati wanadhani wanaonewa hata kwenye mambo yasio ya msingi au yasiyo na maslai
kwa taifa hili.
Naomba mbadilike.
nb: Siasa ci suluhisho sahihi la matatizo yetu.
umemaliza na kwa muda huu najua umesha beba posho kibindoni asante kwa taarifa ukajinyonge sasa.
Hahaha hahaha😛eace: hahaha hahaha
Huu uzi hautabadilisha blue kuwa red...chadema iko mioyoni mwa wa Tanzania. ..hata mkiwachafua majina viongozi wa chadema haitasaidia kitu.si umeona mwigulu kahangaika na kikatuni chake walicho kimwagia tindikali
mlizoea kuiba bila bugudha,sasa mnakula huku macho yanapapasa,..hawa chadema wapo hapa kwa mda mrefu ujao,siyo nccr ya usalama wa taifa mrema
Tumekuelewa.Na kama hao ndio waliokuwa wanachama wangepata wapi wengine?
mkuu umejitahidi sana leo, yaani kwenye tuhuma hizi DR. hayumo? hapana bwana review njoo na zile tuhuma zenu za ruzuku!!!
Matatizo uliyonayo makubwa
hapo kwenye red ushaonyesha where you belong....facebook kwa watoto wenzako