Tafadhari wana jf na Doctors naombeni msaada wenu..nina shida tumboni mwangu nahic chakula kutosagwa ipasavyo kwa sbb mara zote nikila tumbo hubaki hivyo hivyo kwa muda mrefu sana..na mara nying sihic njaa..huuma na ngurumo kibao..ni kama cku mbili zimepita cjaenda hospital bado..mwenye kujua anisaidie,natanguliza shukuran.