mimi nina server the intel shida yake ni kwamba unapoiwasha itawaka kwa muda wa dakika 5 au mbili halafu inawaka taa ya red ikiwa inamanisha kuna tatizo lakini limejaribu ku clear bios bado tatizo linaendelea ..
cha kushangaza itawaka mpka inapotaka bu boot kwenye operating system ndo inakataa
cha kushangaza itawaka mpka inapotaka bu boot kwenye operating system ndo inakataa