Nyambaf.....miaka 4000 nani kahesabu au wewe ulikuwepo tangu utafiti huo unafanyika ???
Usiwe na wasiwasi Eric. Hii haina madhara yoyote katika afya na wala siyo dawa. Imefanyiwa utafiti wa miaka 4000 hadi sasa inakubalika kutumika kwa kuzingatia vithibitisho vyote vya kiafya.