Katika siku za karibuni kumekuwa na matatizo sana ktk ndoa.na kwa utafiti wangu mdogo naona wanaume ndio waathirika wakubwa kila wanaume watano watatu au wanne wanatatizo hilo wengine wanaficha lakini wanaumia.na tatizo nililo liona ni pesa na ndugu.kwani utasikia mke wangu hela sijui anapeleka wapi anafanyakazi bt hela zake hazionekani au utasikia kila siku ndugu wamejaa nyumbani.Je wewe unaona nini tatizo na kipi cha kufanya?