Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 5,033
- 15,578
NMB Tanzania
Kunani NMB? Hii app imegoma kufanya kazi inaniambia 'use original simcard', simu yangu ina line moja na ndio hiyohiyo niliyosajilia NMB mkononi (NMB mobile), tatizo nini?
Update:
Njia hii iliyopendekezwa na mwana jf imekubali
Kunani NMB? Hii app imegoma kufanya kazi inaniambia 'use original simcard', simu yangu ina line moja na ndio hiyohiyo niliyosajilia NMB mkononi (NMB mobile), tatizo nini?
Update:
Njia hii iliyopendekezwa na mwana jf imekubali
Fanya hivi...inawezekana laini unayotumia cyo ulosajilia nmb mobile
Weka laini ulosajilia....isajili kwenye mifumo yote...data...message na calls....au unaweza kuchagua viwili kati ya hvyo
Ukifanya hvyo itakuwa poa...mimi ilishankuta nkafanya hvyo...mambo n poa mda huu
Sent using Jamii Forums mobile app
