Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Wana JF,
Nini ni matarajio yako kwa mwaka 2010?
Kisiasa,
Kiuchumi,
n.k
Nini ni matarajio yako kwa mwaka 2010?
Kisiasa,
Kiuchumi,
n.k
ntakuombea usije ukatuua njaa!!!! (mi yangu tayari matatani sababu ya jf hapa nipo internet cafe!!!Kupunguza addiction yangu na hii forum naweza poteza kazi naomba na nyie mniombee.
Kupunguza addiction yangu na hii forum naweza poteza kazi naomba na nyie mniombee.
Kisiasa: Nina mpango nisipige kura mwaka 2010,sioni wa kumchagua
Kiuchumi: Nataka kuwa mjasiriamali,utumwa wa kuajiriwa umenifika shingoni
Kimapenzi: Nataka kupenda zaidi na natarajiwa kutunukiwa mapenzi zaidi(ya kweli)
Kiroho: Natarajia kuutafuta uso wa Bwana na niwahubirie wasio mjua Mungu kama akina blurei 10 hivi wamrudie Bwana.
........Mengine nitaendelea.......... wakati mwingine