Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 401
Habari za mchana . Natumaini wote wazima wa afya kama unaumwa kidg Mungu akusaidie
Nina tatizo kdg mana Kuna rafiki yangu kanusulika kutapeliwa mana hata sielewi story ipo hivi
Jamaa alitumiwa Hela kiasi Fulani hivi ila baada ya mda Kuna mtu akampigia akasema Kuna Hela imetumwa Bahati mbaya ikapelekea jamaa yangu kuambiwapiga *33*0000# baada ya hapo jamaa akapiga ikapelekea jamaa angu hata akipiga sim inasema kwamba Kuna tatizo ila kwa wateja wa voda tuu ila mitandao mingine akiwapigia watu wanapatikana
Kwa hyo anayefahamu Hilo tatizo atusaidie kidg tafadhali
Nina tatizo kdg mana Kuna rafiki yangu kanusulika kutapeliwa mana hata sielewi story ipo hivi
Jamaa alitumiwa Hela kiasi Fulani hivi ila baada ya mda Kuna mtu akampigia akasema Kuna Hela imetumwa Bahati mbaya ikapelekea jamaa yangu kuambiwapiga *33*0000# baada ya hapo jamaa akapiga ikapelekea jamaa angu hata akipiga sim inasema kwamba Kuna tatizo ila kwa wateja wa voda tuu ila mitandao mingine akiwapigia watu wanapatikana
Kwa hyo anayefahamu Hilo tatizo atusaidie kidg tafadhali