acha uongo, pale maryland hamna wahuni wala wa kukufanyia fujo labda kama uliiba spanner za wale mafundi magari pale nje. Istoshe pale kuna ulinzi wa kutosha hata ukisahau simu kesho yake unaikuta. Ungesema Yenu bar ningekubali. Hata hivyo jf hamna mtu wa kukufanyia hivyo labda useme hii ni stori umetunga. Mia
ahsante kwa tahadhari.mara kwa mara watu wanaonywa humu.ila mara nyingi malalamiko ni kwa wanawake wanatendwa na wanaume wa jf.sikutegemea kama kuna mwanamke angemtenda mwanamme jf.kisukari nitaishia kwenye screen tu,mengine akuu siyawezi.tena sitaki pm.wacha nikachungulie kulee
umejuaje kama na wewe huingii?hahahahahahah kwenye jukwaa lako pendwa!
Nambe, usikute ni wewe ume m-trap huyu jamaa yetu afu saivi unamchungulia kwa mbaaali, kama ivi: :behindsofa: