wanalindwa na mfumo mbovu wa polisi wetu, na wakati mwingine wanakula na polis!!Matapeli hawa wanalindwa na nani?
Kwanini hawakamatwi?
Walimtapeli jamaa yangu projector 4 ktk hyo nyumba.
hah wajinga ndio waliwao
Pamoja na kulaumu polisi lakini kutapeliwa ni uzembe na anayetapeliwa anatamaa ya kupata mteremko.
Maisha sasa hivi yako nginga nginga na hakuna vya dezo. Punguzeni tamaa mnawalaumu bure wakati mnatakiwa kujilaumu kwanza
mkuu wewe ni mjanja sana ujawahi tapeliwa na hutakuja kutapeliwa, mark my words.