Matani

Hahahahha nimecheka na kukumbuka!
Unakichwa kikubwa mpaka ukilala wichi linakuja kukuinua.
 
duh ,umenikumbusha long tym
nlikuwa na zangu kama hizi nin nini twende..........nyumbani kwenu mpo wengi mpaka mtu akifungua mlango mnamwagika nje!!!!!!!!!!
Nini nini lione
mna dhambi mpaka shetani akiwaona anasema "jesus"
 
duh ,umenikumbusha long tym
nlikuwa na zangu kama hizi nin nini twende..........nyumbani kwenu mpo wengi mpaka mtu akifungua mlango mnamwagika nje!!!!!!!!!!
Nini nini lione
mna dhambi mpaka shetani akiwaona anasema "jesus"

Una ngozi ngumu mpaka wakati umetahiriwa ulikuwa referred kwa fundi wa viatu akushone!
 
Tukutuku: Ndo maana wewe ni mnene mpaka ukikalia novel inakua short story!
Papa mopao: Nyie kwenu ni maskini mpaka mnapikaga chapati moja afu mnaitoa photocopy
Ivuga: Na wewe ni mlafi mpaka we huonja maji ya ugali kama yameiva
Lizzy: una macho makubwa mpaka we huitwa eyewitness..lol!!!
Hahahaha nimekubali Mentor!!!Mpenzi wako mweusi mpaka powder anayotumia inatokana na mkaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom