RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 501
Huwa nakerwa sana na matangazo kibao nikifungua Internet kwenye simu yangu, MB zangu zinakwenda bure kwenye haya matangazo ambayo kwangu mimi hayanisaidii chochote.
Wananzengo wajuzi nipeni njia ya kuyaondoa haya matangazo yanaboa mno.
Wananzengo wajuzi nipeni njia ya kuyaondoa haya matangazo yanaboa mno.