Matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya modality ya kiapo cha Wabunge

Pulchra Animo

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
3,398
2,990
Masharti ya kiapo cha wabunge yamo katika Ibara ya 68 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ibara hii inataka, among other things, kila mbunge kuapishwa katika Bunge (English version: before the National Assembly).

Kwa maoni yangu, phrase “kuapishwa katika Bunge...” ilikusudia kulipa Bunge uwezo wa kuendesha viapo vya wajumbe wake (wabunge) lenyewe, kwa sababu kuna namna nyingi za mtu kuapishwa. Mtu anaweza kuapishwa na judge, Rais au mamlaka nyingine yoyote. Kwa hiyo, ilikuwa muhimu kulibainisha hili.

Sasa tuangazie, kwa ujumla, eneo la parties to an oath. Kiapo chochote kina washiriki wa lazima wawili, ambao ni oath administrator na oath taker. Oath taker anaapa na kusaini oath document. Oath administrator anathibitisha hicho kiapo kwa yeye pia kusaini hiyo oath document.

Kitendawili kinachohitaji kuteguliwa ni hiki: Did the drafters of the Constitution really intend to make the entire National Assembly to be the oath administrator? If the answer is yes, maana yake oath taker (mbunge) ataapa na kusaini oath document na wabunge waliobaki (masharti ya quorum ya vikao vya Bunge yakiwa yametimizwa) watathibitisha hicho kiapo kwa kusaini pia hiyo oath document.

Kwa maoni yangu, I don’t think that the drafters of the Constitution really intended to make the entire National Assembly to be the oath administrator. Sio kwamba haiwezekani kufanya hivyo. Swala ni kwamba, what purpose does it serve, ukizingatia kiapo cha mbunge sio legislative action wala azimio la Bunge? Hapo lazima kuwe na practical expedient.

Hapa ndipo Kanuni za Kudumu za Bunge zinapohitajika kusaidia utekelezaji wa masharti ya kiapo cha wabunge yaliyomo katika Katiba. Hiyo practical expedient ni kwamba mbunge (oath taker) anaapa mbele ya Spika (ambaye ndiye anakuwa oath administrator kwa niaba ya Bunge).

Conclusion yangu ni kwamba Kanuni za Kudumu za Bunge hazijakiuka masharti ya Katiba ya kiapo cha wabunge. It isn’t unconstitutional for the Speaker to administer the oath of members of parliament when the National Assembly isn’t in session!

Kazi ya kutafisiri sheria ni ngumu. Ukiishia kwenye literal meaning ya neno linalosomeka kwenye sheria husika, mara nyingi, utachemsha!
 
What will happen, speaker akaamka asubuhi akaamua kumuapisha mke wake kuwa mbunge na as long as ameapishwa na speaker (sehemu ambayo speaker ameona inafaa) je huoni inaweza kujenga mkanganyiko na ndio maana wakitaka ifanyike ndani ya ukumbi wa Bunge na mbele ya wabunge wengine Kama mashahidi?
 
What will happen, speaker akaamka asubuhi akaamua kumuapisha mke wake kuwa mbunge na as long as ameapishwa na speaker (sehemu ambayo speaker ameona inafaa) je huoni inaweza kujenga mkanganyiko na ndio maana wakitaka ifanyike ndani ya ukumbi wa Bunge na mbele ya wabunge wengine Kama mashahidi?

OMG! Naamini hata wewe mwenyewe kesho ukilisoma tena swali lako utatamani kulimeza! Ina maana wewe hujui tofauti ya mchakato wa kuchagua (au kuteua) mbunge na mchakato wa kumuapisha mbunge?
 
Masharti ya kiapo cha wabunge yamo katika Ibara ya 68 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ibara hii inataka, among other things, kila mbunge kuapishwa katika Bunge (English version: before the National Assembly)...
Speaker mwenyewe huwa anaapa mbele ya nani? Anaapa mbele ya watu ambao hawajawa wabunge.

Mbunge wa kwanza anaapa kukiwa na Speaker tu lakini kuna lile rungu (mace).

Hivyo lilikosekana lile rungu.
 
Speaker mwenyewe huwa anaapa mbele ya nani? Anaapa mbele ya watu ambao hawajawa wabunge.

Mbunge wa kwanza anaapa kukiwa na Speaker tu lakini kuna lile rungu (mace).

Hivyo lilikosekana lile rungu.

Shughuli pekee ya Bunge ambayo mbunge anaruhusiwa na Katiba kuifanya hata kabla ya kula kiapo ni ya kumchagua Speaker.

Kwa tafisri yangu, mchakato wa kumchagua Speaker unakamilika baada ya Speaker kuapishwa. Kama tafsri yangu hii iko sahihi, basi pengine Speaker huapishwa na mwenyekiti aliyechaguliwa kuongoza kikao cha Bunge cha kumchagua Speaker!
 
Ilimradi huyo mke wake amepitia michakato yote ya kisheria na kikanuni ya kuchaguliwa/kuteuliwa kwake kuwa mbunge halali.
What will happen, speaker akaamka asubuhi akaamua kumuapisha mke wake kuwa mbunge na as long as ameapishwa na speaker (sehemu ambayo speaker ameona inafaa) je huoni inaweza kujenga mkanganyiko na ndio maana wakitaka ifanyike ndani ya ukumbi wa Bunge na mbele ya wabunge wengine Kama mashahidi?
 
Hebu tuanzie hapa; Bunge ni nini?

1. Jengo? au

2. Jengo pamoja na wale waliomo (wabunge, speaker, naibu speaker na wengine)

Kama jibu ni namba moja jibu lako ni sahihi.

Lakini kama jibu ni namba mbili kwangu naona jibu lako sio sahihi, hasa pale Katiba inapotamka ataapishwa bungeni, na ili mtu aapishwe Bungeni lazima kuwe na vikao vya Bunge vinaendelea, hii ndio maana ya Bunge kuwa in session.

Hili liko wazi, mara zote wabunge wakiapishwa baada ya uchaguzi mkuu wote huapishwa ndani ya jengo la Bunge pakiwepo Spika, Naibu wake, na wahusika wengine. Hii ndio maana ya kuapishwa mbele ya Bunge.

Wabunge kuapishwa gereji ndio tumeliona sasa kwa Ndugai, wote tunajua hawa watu siku hizi hawafuati sheria, na kitendo cha Ndugai kurudia kumuapisha Polepole na mwenzake gereji bado ni kosa, two wrongs can't make it right.

Tujiulize, what was the motive behind ya Spika kuwaapisha wale kina Mdee gereji? jibu lake ni simple, alijua upatikanaji wao ulikuwa batili ndio maana akaamua kulipeleka lile jambo haraka haraka, vinginevyo kimsingi hakuwa na sababu yoyote ya kufanya vile.

Hata kama kuna exception inayolazimu wabunge kuapa nje ya jengo la Bunge (binafsi sijawahi kuziona), hizo exception lazima ziwe zimeainishwa, na Spika azitumie kama reference, sio nje ya hapo.
 
Masharti ya kiapo cha wabunge yamo katika Ibara ya 68 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ibara hii inataka, among other things, kila mbunge kuapishwa katika Bunge (English version: before the National Assembly)...
Ile siku bwana mdogo Ndugai anamuapisha Polepole lakini anaongelea mambo ya Chadema na kusema kuna "unyanyasaji wa kijinsia" akiwatumia akina Halima Mdee kama Mfano.

Halima anafanya press yake na kusema Chadema hakuna mfumo dume kama inavyoelezwa, maana wao wamekuwa viongozi huko. Ndugai anajionaje?
 
Mkuu Pulchra Animo , asante kwa hoja zako, na kubwa zaidi ni jinsi ulivyomaliza hoja hii kwa maneno haya "Kazi ya kutafisiri sheria ni ngumu. Ukiishia kwenye literal meaning ya neno linalosomeka kwenye sheria husika, mara nyingi, utachemsha!". Naomba kuchangia ifuatavyo in points format
  1. Kitu cha kwanza kinachozingatiwa kwenye kuitafsiri sheria, ni kuangalia mtunga katiba alidhamiria nini kwa kifungu husika?.
  2. Mfumo wetu wa utawala una mihimili 3 inayojitegemea, Serikali, Bunge na Mahakama, hivyo wakuu wa mihimili hiyo, Rais, Spika na Jaji Mkuu ndio waapishaji wakuu, waapishaji wengine wote ni kwa niaba yao!.
  3. Kuna viapo ambavyo anatajwa muapishaji bila katiba kuweka mahali, mfano viapo vyote vya Rais, au Jaji Mkuu, katiba haukusema rais ataaoishia Ikulu au Jaji Mkuu ataapishia mahakamani, hii maana yake rais anaweza kuapishiwa popote na kuapishia popote, sambamba na CJ anaweza kuapishia popote.
  4. Lakini kwa kiapo cha Mbunge, Mtunga Katiba amesema wazi, Mbunge ataapa mbele ya Spika, Bungeni!.
  5. Neno Bungeni halimaaninishi jengo la Bunge, bali limemaanisha Mamlaka ya Bunge!.
  6. Jengo la Bunge na Mamlaka ya Bunge ni vitu viwili tofauti, kama ilivyo kwa neno Mahakama na Chumba cha Mahakama.
  7. Jengo la Bunge ni eneo lolote ambalo Bunge linaweza kuendeshewa, na sio lazima ule ukumbi wa Bunge, linaweza kuendeshewa popote. Lakini ili liwe ni Bunge, lazima liwe na Mamlaka ya Kibunge, session.
  8. Vivyo hivyo kwa Mahakama na chumba cha mahakama, Mahakama ni ile session, eneo lolote linaweza kuwa chumba cha mahakama lakini ili iwe ni mahakama lazima iwe na mamlaka, court session.
  9. Hivyo mtunga katiba aliposema Mbunge ataapishwa mbele ya Spika Bungeni akimaanisha Mbunge ataapa kwenye kikao cha Bunge, Session yenye mamlaka ya kibunge na sio eneo la Bunge.
  10. Watunga Kanuni wakadhani Mtunga katiba alimaanisha eneo la Bunge, hivyo wakakasimu madaraka kwa Spika, kuapishia eneo lolote!. Kwa lugha nyingine, kanuni imempa Spika mamlaka ya yeye Spika kujingeuza ni mamlaka ya kibunge na kuapishia wabunge eneo lolote.
Kwa maoni yangu, this is wrong!. Lengo la mtunga katiba kutaka wabunge waape kwenye kikao cha Bunge, yaani, parliament in session, yenye mamlaka ya kibunge kwasababu wabunge ni watunga sheria, viapo vyao lazima viwe na mamlaka, ili kuwapa mamlaka ya kutunga sheria.

NB. Pamoja na kanuni hiyo kwenda kinyume cha katiba, lakini kitendo alichokifanya Spika kuwaapisha wabunge nje ya kikao, ni kitendo halali kwa mujibu wa kanuni. Kama Bunge limetunga kanuni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, kanuni hiyo itakuwa ni halali mpaka pale itakapo batilishwa, hivyo Spika Mhe. Job Ndugai is right kufanya anachokifanya kwasababu ndivyo kanuni inavyosema!.

Hata ikitokea, mtuhumiwa akahukumiwa kunyongwa kwa makosa, na mnyongaji akamnyonga kwa kutekeleza hakumu ya mahakama. Baada ya kunyongwa ikathibitika alihukumiwa kwa makosa, mwenye kosa ni aliyehukumu, huyo mnyongwaji atakuwa amenyongwa kwa makosa, lakini mnyongaji did the right thing, kazi yake ni kunyonga, akiletewa mtu wa kunyongwa, kazi yake ni kunyonga tuu na sio kujua amekosa nini.

Kwa muktadha huo, Spika Mhe. Job Ndugai ametimiza wajibu wake kwa mujibu wa kanuni halali ya Bunge, kama kuna makosa, yamefanywa na mtunga kanuni.

P.
 
What will happen, speaker akaamka asubuhi akaamua kumuapisha mke wake kuwa mbunge na as long as ameapishwa na speaker (sehemu ambayo speaker ameona inafaa) je huoni inaweza kujenga mkanganyiko na ndio maana wakitaka ifanyike ndani ya ukumbi wa Bunge na mbele ya wabunge wengine Kama mashahidi?
Wakati ndiyo bunge linaanza kwa mara ya kwanza, wanaapishwa mbele ya nani?
 
OMG! Naamini hata wewe mwenyewe kesho ukilisoma tena swali lako utatamani kulimeza! Ina maana wewe hujui tofauti ya mchakato wa kuchagua (au kuteua) mbunge na mchakato wa kumuapisha mbunge?
Maoni yake yana maana kubwa, maana mtu anaweza kufoji tu barua na akatafuta utetezi wa forgery yake.
 
Mkuu Pulchra Animo , asante kwa hoja zako, na kubwa zaidi ni jinsi ulivyomaliza hoja hii kwa maneno haya "Kazi ya kutafisiri sheria ni ngumu. Ukiishia kwenye literal meaning ya neno linalosomeka kwenye sheria husika, mara nyingi, utachemsha!". Naomba kuchangia ifuatavyo in points format...
Kumbe wewe ni muelewa ila huwa unajitoa ufahamu kuendekeza njaa na kutafuta teuzi ?
 
OMG! Naamini hata wewe mwenyewe kesho ukilisoma tena swali lako utatamani kulimeza! Ina maana wewe hujui tofauti ya mchakato wa kuchagua (au kuteua) mbunge na mchakato wa kumuapisha mbunge?
Mchakato wa kuchagua au kuteua ndo huo unaobishabiwa umekiuka katiba
 
OMG! Naamini hata wewe mwenyewe kesho ukilisoma tena swali lako utatamani kulimeza! Ina maana wewe hujui tofauti ya mchakato wa kuchagua (au kuteua) mbunge na mchakato wa kumuapisha mbunge?
Unapomruhusu mtu kuapisha kihuni anaweza kuabuse na ndio maana ya mchakato kufanyika ndani ya Bunge (parliament in sessions).
 
Mkuu Pulchra Animo , asante kwa hoja zako, na kubwa zaidi ni jinsi ulivyomaliza hoja hii kwa maneno haya "Kazi ya kutafisiri sheria ni ngumu. Ukiishia kwenye literal meaning ya neno linalosomeka kwenye sheria husika, mara nyingi, utachemsha!". Naomba kuchangia ifuatavyo in points format
  1. Kitu cha kwanza kinachozingatiwa kwenye kuitafsiri sheria, ni kuangalia mtunga katiba alidhamiria nini kwa kifungu husika?.
  2. Mfumo wetu wa utawala una mihimili 3 inayojitegemea, Serikali, Bunge na Mahakama, hivyo wakuu wa mihimili hiyo, Rais, Spika na Jaji Mkuu ndio waapishaji wakuu, waapishaji wengine wote ni kwa niaba yao!.
  3. Kuna viapo ambavyo anatajwa muapishaji bila katiba kuweka mahali, mfano viapo vyote vya Rais, au Jaji Mkuu, katiba haukusema rais ataaoishia Ikulu au Jaji Mkuu ataapishia mahakamani, hii maana yake rais anaweza kuapishiwa popote na kuapishia popote, sambamba na CJ anaweza kuapishia popote.
  4. Lakini kwa kiapo cha Mbunge, Mtunga Katiba amesema wazi, Mbunge ataapa mbele ya Spika, Bungeni!.
  5. Neno Bungeni halimaaninishi jengo la Bunge, bali limemaanisha Mamlaka ya Bunge!.
  6. Jengo la Bunge na Mamlaka ya Bunge ni vitu viwili tofauti, kama ilivyo kwa neno Mahakama na Chumba cha Mahakama.
  7. Jengo la Bunge ni eneo lolote ambalo Bunge linaweza kuendeshewa, na sio lazima ule ukumbi wa Bunge, linaweza kuendeshewa popote. Lakini ili liwe ni Bunge, lazima liwe na Mamlaka ya Kibunge, session.
  8. Vivyo hivyo kwa Mahakama na chumba cha mahakama, Mahakama ni ile session, eneo lolote linaweza kuwa chumba cha mahakama lakini ili iwe ni mahakama lazima iwe na mamlaka, court session.
  9. Hivyo mtunga katiba aliposema Mbunge ataapishwa mbele ya Spika Bungeni akimaanisha Mbunge ataapa kwenye kikao cha Bunge, Session yenye mamlaka ya kibunge na sio eneo la Bunge.
  10. Watunga Kanuni wakadhani Mtunga katiba alimaanisha eneo la Bunge, hivyo wakakasimu madaraka kwa Spika, kuapishia eneo lolote!. Kwa lugha nyingine, kanuni imempa Spika mamlaka ya yeye Spika kujingeuza ni mamlaka ya kibunge na kuapishia wabunge eneo lolote.
Kwa maoni yangu, this is wrong!. Lengo la mtunga katiba kutaka wabunge waape kwenye kikao cha Bunge, yaani, parliament in session, yenye mamlaka ya kibunge kwasababu wabunge ni watunga sheria, viapo vyao lazima viwe na mamlaka, ili kuwapa mamlaka ya kutunga sheria.

NB. Pamoja na kanuni hiyo kwenda kinyume cha katiba, lakini kitendo alichokifanya Spika kuwaapisha wabunge nje ya kikao, ni kitendo halali kwa mujibu wa kanuni. Kama Bunge limetunga kanuni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, kanuni hiyo itakuwa ni halali mpaka pale itakapo batilishwa, hivyo Spika Mhe. Job Ndugai is right kufanya anachokifanya kwasababu ndivyo kanuni inavyosema!.

Hata ikitokea, mtuhumiwa akahukumiwa kunyongwa kwa makosa, na mnyongaji akamnyonga kwa kutekeleza hakumu ya mahakama. Baada ya kunyongwa ikathibitika alihukumiwa kwa makosa, mwenye kosa ni aliyehukumu, huyo mnyongwaji atakuwa amenyongwa kwa makosa, lakini mnyongaji did the right thing, kazi yake ni kunyonga, akiletewa mtu wa kunyongwa, kazi yake ni kunyonga tuu na sio kujua amekosa nini.

Kwa muktadha huo, Spika Mhe. Job Ndugai ametimiza wajibu wake kwa mujibu wa kanuni halali ya Bunge, kama kuna makosa, yamefanywa na mtunga kanuni.

P.
Lakini kaka Pascal si kuna kifungu kwenye katiba kinasema sheria yoyote itakayotungwa kinyume na katiba itakuwa ni batili na itatanguka sasa kwa maelezo yako hiyo kanuni si imeshatanguka kwakuwa inapingana na katiba?
 
Hebu tuanzie hapa; Bunge ni nini?

1.Jengo? au

2.Jengo pamoja na wale waliomo (wabunge, speaker, naibu speaker na wengine)

Kama jibu ni namba moja jibu lako ni sahihi.

Lakini kama jibu ni namba mbili kwangu naona jibu lako sio sahihi, hasa pale Katiba inapotamka ataapishwa bungeni, na ili mtu aapishwe Bungeni lazima kuwe na vikao vya Bunge vinaendelea, hii ndio maana ya Bunge kuwa in session.

Hili liko wazi, mara zote wabunge wakiapishwa baada ya uchaguzi mkuu wote huapishwa ndani ya jengo la Bunge pakiwepo Spika, Naibu wake, na wahusika wengine. Hii ndio maana ya kuapishwa mbele ya Bunge.

Wabunge kuapishwa gereji ndio tumeliona sasa kwa Ndugai, wote tunajua hawa watu siku hizi hawafuati sheria, na kitendo cha Ndugai kurudia kumuapisha Polepole na mwenzake gereji bado ni kosa, two wrongs can't make it right.

Tujiulize, what was the motive behind ya Spika kuwaapisha wale kina Mdee gereji? jibu lake ni simple, alijua upatikanaji wao ulikuwa batili ndio maana akaamua kulipeleka lile jambo haraka haraka, vinginevyo kimsingi hakuwa na sababu yoyote ya kufanya vile.

Hata kama kuna exception inayolazimu wabunge kuapa nje ya jengo la Bunge (binafsi sijawahi kuziona), hizo exception lazima ziwe zimeainishwa, na Spika azitumie kama reference, sio nje ya hapo.

Sio Spika kujiamulia tu anavyotaka yeye, akumbuke yeye ni msimamizi wa shughuli za Bunge hivyo anatakiwa afuate sheria, miongozo, taratibu, na kanuni za Bunge.

Interpretation of law goes far beyond understanding and explaining the literal meanings of various words and phrases used in any given piece of legislation. If that wasn’t the case, all linguists would become lawyers only by virtue of their language expertise!

The question of venue for the oath administration is trivial. Kauli inayong’ang’aniwa kwamba wabunge wameapishwa garage is just cheap politics. The choice of venue cannot invalidate an oath properly taken, before a proper oath administrator. Rais, kwa mfano, mara zote anaapishwa kwenye viwanja vya halaiki as a matter of practical convenience!

Jambo muhimu ni kwamba oath taker must properly take the oath, before a proper oath administrator. Kwa swala la kiapo cha mbunge, swali linalohitaji kujibiwa ni: je, administrator wa hicho kiapo ni Speaker (kwa niaba ya Bunge) au ni Bunge lote? Kwa maoni yangu ni Speaker. Sina sababu ya kurudia ufafanuzi niliokwisha kuutoa kwenye andiko lililokuja na maada yenyewe!
 
Mkuu Pulchra Animo , asante kwa hoja zako, na kubwa zaidi ni jinsi ulivyomaliza hoja hii kwa maneno haya "Kazi ya kutafisiri sheria ni ngumu. Ukiishia kwenye literal meaning ya neno linalosomeka kwenye sheria husika, mara nyingi, utachemsha!". Naomba kuchangia ifuatavyo in points format
  1. Kitu cha kwanza kinachozingatiwa kwenye kuitafsiri sheria, ni kuangalia mtunga katiba alidhamiria nini kwa kifungu husika?.
  2. Mfumo wetu wa utawala una mihimili 3 inayojitegemea, Serikali, Bunge na Mahakama, hivyo wakuu wa mihimili hiyo, Rais, Spika na Jaji Mkuu ndio waapishaji wakuu, waapishaji wengine wote ni kwa niaba yao!.
  3. Kuna viapo ambavyo anatajwa muapishaji bila katiba kuweka mahali, mfano viapo vyote vya Rais, au Jaji Mkuu, katiba haukusema rais ataaoishia Ikulu au Jaji Mkuu ataapishia mahakamani, hii maana yake rais anaweza kuapishiwa popote na kuapishia popote, sambamba na CJ anaweza kuapishia popote.
  4. Lakini kwa kiapo cha Mbunge, Mtunga Katiba amesema wazi, Mbunge ataapa mbele ya Spika, Bungeni!.
  5. Neno Bungeni halimaaninishi jengo la Bunge, bali limemaanisha Mamlaka ya Bunge!.
  6. Jengo la Bunge na Mamlaka ya Bunge ni vitu viwili tofauti, kama ilivyo kwa neno Mahakama na Chumba cha Mahakama.
  7. Jengo la Bunge ni eneo lolote ambalo Bunge linaweza kuendeshewa, na sio lazima ule ukumbi wa Bunge, linaweza kuendeshewa popote. Lakini ili liwe ni Bunge, lazima liwe na Mamlaka ya Kibunge, session.
  8. Vivyo hivyo kwa Mahakama na chumba cha mahakama, Mahakama ni ile session, eneo lolote linaweza kuwa chumba cha mahakama lakini ili iwe ni mahakama lazima iwe na mamlaka, court session.
  9. Hivyo mtunga katiba aliposema Mbunge ataapishwa mbele ya Spika Bungeni akimaanisha Mbunge ataapa kwenye kikao cha Bunge, Session yenye mamlaka ya kibunge na sio eneo la Bunge.
  10. Watunga Kanuni wakadhani Mtunga katiba alimaanisha eneo la Bunge, hivyo wakakasimu madaraka kwa Spika, kuapishia eneo lolote!. Kwa lugha nyingine, kanuni imempa Spika mamlaka ya yeye Spika kujingeuza ni mamlaka ya kibunge na kuapishia wabunge eneo lolote.
Kwa maoni yangu, this is wrong!. Lengo la mtunga katiba kutaka wabunge waape kwenye kikao cha Bunge, yaani, parliament in session, yenye mamlaka ya kibunge kwasababu wabunge ni watunga sheria, viapo vyao lazima viwe na mamlaka, ili kuwapa mamlaka ya kutunga sheria.

NB. Pamoja na kanuni hiyo kwenda kinyume cha katiba, lakini kitendo alichokifanya Spika kuwaapisha wabunge nje ya kikao, ni kitendo halali kwa mujibu wa kanuni. Kama Bunge limetunga kanuni batili kwa kwenda kinyume cha katiba, kanuni hiyo itakuwa ni halali mpaka pale itakapo batilishwa, hivyo Spika Mhe. Job Ndugai is right kufanya anachokifanya kwasababu ndivyo kanuni inavyosema!.

Hata ikitokea, mtuhumiwa akahukumiwa kunyongwa kwa makosa, na mnyongaji akamnyonga kwa kutekeleza hakumu ya mahakama. Baada ya kunyongwa ikathibitika alihukumiwa kwa makosa, mwenye kosa ni aliyehukumu, huyo mnyongwaji atakuwa amenyongwa kwa makosa, lakini mnyongaji did the right thing, kazi yake ni kunyonga, akiletewa mtu wa kunyongwa, kazi yake ni kunyonga tuu na sio kujua amekosa nini.

Kwa muktadha huo, Spika Mhe. Job Ndugai ametimiza wajibu wake kwa mujibu wa kanuni halali ya Bunge, kama kuna makosa, yamefanywa na mtunga kanuni.

P.

Mkuu, Mayalla, nimekusoma! Katika item #14 unasema “...mbunge ataapa mbele ya Speaker, Bungeni!...” Hili sharti umelipata wapi?

Katiba inasema mbunge ataapa katika Bunge (English version: before the National Assembly). Sasa huoni kama ukitaka kuchukua literal meaning ya hili sharti maana yake oath administrator is the entire National Assembly na sio Speaker pekee yake?
 
Back
Top Bottom