KabisaHawa watu wakiamua kukufanyia figisu figisu wakunyanganye mpenzi wako hawashindwi.. maana mtoto akipelekwa tu kwenye mijengo yao, ndio kwisha habari zake
Kumbe waishi hotelini!?
Sipati picha yule dikteta wa kihutu anavyoitamani hii nyumba!Habarini wana jamvi
Naomba kuungana na waombolezaji wale waliofika machame na kuanza kwanza kushangaa mjengo wa marehemu kabla ya kitu chochote...
Matajiri wa kitanzania jifunzeni, sio kila mtu unakomalia kuishi mbezi beach au masaki lakini kajumba kamejibana kama kibanda cha vocha hili mradi uonekane umekaa mjini, oneni kufuru ya Dr hapo machame, mazingira tu mpaka unahisi kushiba....
Matajiri kujibana jifunzeni,
Please kama unahisi hata iweje hauwezi hata kuwa na dream kama hii husiangalie picha, utajiumiza bure
Pumzika kwa amani Dr.View attachment 1092195View attachment 1092196View attachment 1092198View attachment 1092199View attachment 1092200View attachment 1092201View attachment 1092202View attachment 1092203View attachment 1092204View attachment 1092205View attachment 1092206View attachment 1092207View attachment 1092208View attachment 1092209View attachment 1092210View attachment 1092211View attachment 1092212View attachment 1092213
Hii ndio tofauti ya mtu akisema najenga pango langu, na mtu anaesema najenga nyumba ya kuishi.......tutafute pesa jaman
Promo na mjivuni ya watu utadhani all Chagas ni Mengi family
Kama wamefaidi hawasindikizi haoHata wao wanasindikiza life sote tunasindikiza life, sema wao wanafaidi luxury life.
Hahahahaaa nkurunzinza au ?Sipati picha yule dikteta wa kihutu anavyoitamani hii nyumba!
"nyie" kina nani?Awamu hii imeonesha ni kwa kiasi gani nyie jamaa ni wabaguzi.
ha ha ha ha ha ha ya mkapa nimecheka sana utakuta anafikiria kuanzisha mradi mpya da alafu mkapa nae kaweka kitu cha maana kule LUSHOTO siku ya msiba wake kama ataenda kuzikwa kule watu hawataaminiMiaka 75 Ni michache Sana kwa watu wenye uwezo .mwinyi ana 95 Hana hata mpango wa kufa ,mkapa ana 84 Yuko bize na kutafuta pesa.
umenena vyema.AminaHuyu mzee katumia pesa yake vizuri mke mzuri nyumba kali heshima tele moyo safi kwaheri mzee
Kweli mengi mpenda MazingiraUnaifahamu Kilimanjaro kwa Ujumla wake? Achana na jengo LA Mengi ,
BakheresaWe taja tajiri unayemtaka upewe hekalu lake
ha ha ha ha ha ha ya mkapa nimecheka sana utakuta anafikiria kuanzisha mradi mpya da alafu mkapa nae kaweka kitu cha maana kule LUSHOTO siku ya msiba wake kama ataenda kuzikwa kule watu hawataamini
Umeshaolewa lakini?Mm navyojuwa watu wamejenga vizuri tu basi tofauti ni kwenye mandhari,na mpangilio.
Alichokijenga kwa maisha yake na alipoishia kwa maisha yake ni tofauti kubwa sana na unapoishi, angeweza kuamka na kuona mjengo wako naamini naye angeutamani.Habarini wana jamvi
Naomba kuungana na waombolezaji wale waliofika machame na kuanza kwanza kushangaa mjengo wa marehemu kabla ya kitu chochote...
Matajiri wa kitanzania jifunzeni, sio kila mtu unakomalia kuishi mbezi beach au masaki lakini kajumba kamejibana kama kibanda cha vocha hili mradi uonekane umekaa mjini, oneni kufuru ya Dr hapo machame, mazingira tu mpaka unahisi kushiba....
Matajiri kujibana jifunzeni,
Please kama unahisi hata iweje hauwezi hata kuwa na dream kama hii husiangalie picha, utajiumiza bure
Pumzika kwa amani Dr.View attachment 1092195View attachment 1092196View attachment 1092198View attachment 1092199View attachment 1092200View attachment 1092201View attachment 1092202View attachment 1092203View attachment 1092204View attachment 1092205View attachment 1092206View attachment 1092207View attachment 1092208View attachment 1092209View attachment 1092210View attachment 1092211View attachment 1092212View attachment 1092213
Hii ndio tofauti ya mtu akisema najenga pango langu, na mtu anaesema najenga nyumba ya kuishi.......tutafute pesa jaman