digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,554
- 2,265
Habarini wana jamvi
Naomba kuungana na waombolezaji wale waliofika machame na kuanza kwanza kushangaa mjengo wa marehemu kabla ya kitu chochote...
Matajiri wa kitanzania jifunzeni, sio kila mtu unakomalia kuishi mbezi beach au masaki lakini kajumba kamejibana kama kibanda cha vocha hili mradi uonekane umekaa mjini, oneni kufuru ya Dr hapo machame, mazingira tu mpaka unahisi kushiba....
Matajiri kujibana jifunzeni,
Please kama unahisi hata iweje hauwezi hata kuwa na dream kama hii husiangalie picha, utajiumiza bure
Pumzika kwa amani Dr.
Hii ndio tofauti ya mtu akisema najenga pango langu, na mtu anaesema najenga nyumba ya kuishi.......tutafute pesa jaman
Naomba kuungana na waombolezaji wale waliofika machame na kuanza kwanza kushangaa mjengo wa marehemu kabla ya kitu chochote...
Matajiri wa kitanzania jifunzeni, sio kila mtu unakomalia kuishi mbezi beach au masaki lakini kajumba kamejibana kama kibanda cha vocha hili mradi uonekane umekaa mjini, oneni kufuru ya Dr hapo machame, mazingira tu mpaka unahisi kushiba....
Matajiri kujibana jifunzeni,
Please kama unahisi hata iweje hauwezi hata kuwa na dream kama hii husiangalie picha, utajiumiza bure
Pumzika kwa amani Dr.
Hii ndio tofauti ya mtu akisema najenga pango langu, na mtu anaesema najenga nyumba ya kuishi.......tutafute pesa jaman