Mataifa yanayoongoza kwa kuchukiana zaidi

CARIFONIA

JF-Expert Member
Aug 17, 2013
518
901
Leo naomba tuangalie mataifa yanayohongoza kwa kuchukiana zaidi yahani kila taifa linajiona bora na babe zaidi ya mwenzake

Nitahanza na listi yangu kisha wewe mdau utakuja na yako pia

1. South korea vs North Korea
Hawa jamaa licha ya kua ni ndugu lakini wanachukiana kinoma, na chanzo kikubwa cha mgogoro wao ni mpaka

2. India vs Pakstani
Hawa jamaa uhusiano wao pia ni kama wa paka na panya yahani hakuna anayemuelewa mwenzake, na chanzo kikubwa cha mgogoro wao ni itikadi za kidini pamoja na mpaka, kwani wameshawai kutwangana wakigombea jimbo la kashimiri.

3. Israel Vs Palestina
Hii ni darby nyingine tena, hawa jamaa hawapatani kinoma nasidhani kama watakuja kupatana, chanzo cha battle yao ni kwamba palestina anadai Islaer anakalia aridhi yao kimabavu huku islaer wanasema hapo ni kwao kwani walipewa na mungu bahada ya kuwaidi mababu zao.

4. China vs Japan
Hawa jamaa ni miongoni mwa nchi ambazo azipendani kinoma na uhasama wao unahanzia kwa serikali zao mpaka kwa raia, chanzo cha battle yao ikidaiwa ni pamoja na maslahi ya kiuchumi, lakini mchina akiwa na kumbukumbu ya kutawaliwa na wajapani.

5. USA vs Russia
Hawa jamaa unahambiwa mahusiano yao yapo kama paka na panya, unaweza kuta wakiongea fresh lakini wakiachana tu kila mmoja anamsinichi mwenzake, chanzo cha mgogoro wao ni kwamba kila mmoja alikua anataka kua mtemi wa dunia hii yahani superpower.

Haya nawahachia na wengine mje na hizi darby za mataifa, najua zipo battle kibao pia ningependa kufahamu kuhusu battle za africa.
 
South Korea na North Korea , chanzo kikuu cha mgogoro wao ni kutofautiana itikadi. SK ni capitalist while Nk ni socialist
 
North Korea vs South Korea
North Korea vs Japan
North Korea vs USA
India vs Pakistan
India vs China
India vs Sri Lanka
Israel vs Palestine
Israel vs Iran
Iran vs Saudi Arabia
Iran vs USA
Kuwait vs Iraq
Serbia vs Albania
Serbia vs Bosnia
Serbia vs Kosovo
China vs Japan
China vs Vietnam (1979 war + ongoing territory dispute)
Vietnam vs Cambodia (1979-91 War)
Russia vs Germany
Russia vs Ukraine.
 
Kenya na Nigeria
mimi hapa huwa naona kuna battle ya south africa na Nigeria, kenya na tanzania ila hizi bato huwa zinaishia kutupiana maneno tu kwa raia, ila suala kidiplomasia kwa serikali ya hizi nchi zipo vizuri, kwani sijaona serikali za hizi nchi wakitunishiana misuli
 
North Korea vs South Korea
North Korea vs Japan
North Korea vs USA
India vs Pakistan
India vs China
India vs Sri Lanka
Israel vs Palestine
Israel vs Iran
Iran vs Saudi Arabia
Iran vs USA
Kuwait vs Iraq
Serbia vs Albania
Serbia vs Bosnia
Serbia vs Kosovo
China vs Japan
China vs Vietnam (1979 war + ongoing territory dispute)
Vietnam vs Cambodia (1979-91 War)
Russia vs Germany
Russia vs Ukraine.
Inaonekana North korea na India wana masinichi wengi😂😂
 
mimi hapa huwa naona kuna battle ya south africa na Nigeria, kenya na tanzania ila hizi bato huwa zinaishia kutupiana maneno tu kwa raia, ila suala kidiplomasia kwa serikali ya hizi nchi zipo vizuri, kwani sijaona serikali za hizi nchi wakitunishiana misuli
Ugomvi wa Kenya na Tanzania ni wa kuchukulia mademu tu
 
Burundi na Rwanda.
Kenya inachuki binafsi na Tanzania.ila Tanzania haina chuki na nchi yeyote.
Hawa Rwanda na Burundi hawachukiani isipokua watawala wao ndio wanachukiana ,hawa jamaa ni ndugu zaidi ya wengi wanavyofikiria. Kuna mwandishi mmoja mmarekani alisema ndio nchi pekee duniani zinazofanana kuliko nyingine zote, akaweka na msemo"if Burundi/Rwanda sneezes, Rwanda/Burundi catches the cold". Wabeljiji walifanya kosa kubwa kutowafanya nchi moja.
 
Hawa Rwanda na Burundi hawachukiani isipokua watawala wao ndio wanachukiana ,hawa jamaa ni ndugu zaidi ya wengi wanavyofikiria. Kuna mwandishi mmoja mmarekani alisema ndio nchi pekee duniani zinazofanana kuliko nyingine zote, akaweka na msemo"if Burundi/Rwanda sneezes, Rwanda/Burundi catches the cold". Wabeljiji walifanya kosa kubwa kutowafanya nchi moja.
hii ilikua iwe nchi moja tu, sasa nchi zenyewe kwa hapa bongo vinazidiwa ukubwa hata na bahadhi ya mikoa
 
Back
Top Bottom